SHARE

Read Unyama Lyrics By Feza Kessy Ft Kontawa

SHARE

Read Unyama Lyrics By Feza Kessy Ft Kontawa. The song marks another time Feza has collaborated with another artist.

READ ALSO: Feza Kessy Drops A Brand New Single Titled "Siwezi" | LISTEN

Read Unyama Lyrics By Feza Kessy Ft Kontawa Below:

Ilikuwa kama movie 

Me na we tumekuwa pamoja eeeh 

Bila kuskiliza miluzi 

Ya majirani na mashoga zangu 

Nilipata vi-some news

Kuhusu wewe vikanitia uoga eeeh 

Habari za kutisha tisha 

Ningeziendekeza zingechachisha mboga 

Ningejaji kitabu bila kusoma ndani  

Pengine haya yote nisingeyaona 

Tangu dereva nikukabidhi usukani 

Unavyoendesha sijapata ona 

Eeeh yale machungu niliyopitia 

Umenifanya nipoteze kumbukumbu 

Na sina tena idea 

nimesahau nilipotoka eeeh 

Eeeh sasa ukitaka kunichuna

Njoo nikupe kisu na mapanga eeeh 

Ama ukitaka kuniroga 

Sema nikupe namba za waganga 

Baby baby 

Unanifanyia maunyama 

Baby baby 

Ndio maana kwako nimekwama

Baby baby 

Unanifanyia maunyama 

Baby baby 

Ndio maana kwako nimekwama

Kuna wazushi waliniambia una ngoma 

Nikawajibu ntaiskiza kila kona 

Nachokupenda kwenye penzi hauna formula 

Unakichefua hadi kipofu anaona noma 

Somebody told me 

Umeniverify 

Kwanza uko lowkey 

Nakuzimia my gee 

Navyokwambia sijutii toka tujuane 

Napenda penzi na sio money 

Ndo maana ukija uaiku wa manane 

Nachukua tango tukatiane 

Eeeh sasa ukitaka kunichuna

Njoo nikupe kisu na mapanga eeeh 

Ama ukitaka kuniroga 

Sema nikupe namba za waganga 

Baby baby 

Unanifanyia maunyama 

Baby baby 

Ndio maana kwako nimekwama

Baby baby 

Unanifanyia maunyama 

Baby baby 

Ndio maana kwako nimekwama

Related

ADVERTISEMENT