SHARE

Nikikuona Lyrics By Nay Wa Mitego Featuring Ali Kiba | READ

SHARE

Read And Enjoy Nikikuona Lyrics By Nay Wa Mitego Featuring Ali Kiba. The song is produced by Tanzania's finest producer Yogo Beats.

Nikikuona Lyrics By Nay Wa Mitego Ft Ali Kiba

READ ALSO: Nay Wa Mitego Taps Ali Kiba In A New Song Titled ‘Nikikuona’ | LISTEN

Read, sing aloud and enjoy Nikikuona Lyrics By Nay Wa Mitego Featuring Ali Kiba :

VERSE 1

Gal unanikosha
We ndio faraja yangu usawa huu
Wengine walinitocha
Kisa sina vyangu mtembea kwa miguu
Mungu fundi amenileta wewe
Unavyo nikataga nakuita kiwembe
Ukiwa shambani unanitaga jembe
Ukichoka bongo twende kwa madiba
Naogopa hapa bongo watakuiba
Jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
Nanilivyo na manguvu si nitawapiga

BRIDGE

Naogopa hapa bongo watakuiba
Jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
Naniliyo na manguvu si nitawapiga

Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you
Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you

CHORUS

Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apetite(ayaya)
Ayayaaa (ayaya)
Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apetite (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)

VERSE 2

Oh my gyal you’re fire
Moyoni wangu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana
Please don’t get tired
Walijaribu kukuiba nishawafanya kitu mbaya

Baby you change my life
Ikitokea tukiachana mungu akupe good life
Imani yangu inanituma mpaka umauti we ndio wife
Sipendelei ugomvi ila for you I can fight
Mama unaniweka roho juujuu (juujuu)
Nataka twende town kwa miguu (miguu)
Penzi lako noma changanya na jujuu (jujuu)
Na kama shule wewe ni chuo kikuu (kikuu)

BRIDGE

Ukichoka bongo twende kwa madiba
Naogopa hapa bongo watakuiba
Jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
Naniliyo na manguvu si nitawapiga

Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you
Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you

CHORUS

Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani apetite(ayaya)
We ndio yangu apitaitu (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)
Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apetite (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)

Mama unaniweka roho juju (jujuu)
Nataka twende town kwa miguu (miguu)
Penzi lako noma changanya na jujuu (jujuu)
Na kama shule wewe ni chuo kikuu (kikuuu)
Ukichoka bongo twende kwa madiba
Naogopa hapa bongo watakuiba
Jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
Naniliyo na manguvu si nitawapiga

Oh my gyal you’re fire
Moyoni wangu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana
Please don’t get tired
Walijaribu kukuiba nishawafanya kitu mbaya

Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apitaitu (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)

Related

ADVERTISEMENT