SHARE

Kiuno Lyrics By Killy Featuring Ibraah |READ

SHARE

Read and Enjoy Kiuno Lyrics By Killy Featuring Ibraah. The song has been a hit in East Africa since the day of release.

Killy Kiuno Lyrics

READ ALSO: Rayvanny Releases “Kiuno” Music Video

Ouwoo oh oh eyee
Aliyeumba upendo ndo ameumba na mengine
Ila mi sina nyendo na kukupenda sishangai
Tabia na matendo oh oh oh macho hayajaona pengine
Isije tiki ya pendo ikawa ndo tena bye bye

Chunga  majaribu yapo hayakwepeki
Unga tule kiapo usiwe feki
Usije kuwa taabu na dhihaki
Wapi nitaiweke sura niambie eh

Ukiniona mtu mzima nalia 
Kwa ajili ya mapenzi usishangae
Ama umekiweza ah ah, hiki kifimbo cheza ah ah
Ah umezidi sifa na sina mtetezi 
Hapo mbele nisije nikajiita baadae

Ona wanavyonibeza ah ah
Na si tunapendeza ah ah
Ona hicho kiuno ah ah, ah ah
Hio miguno ah ah, ah ah
Wengine mwenzako sidhani, ah ah ah ah
Hicho kiuno ah ah, ah ah

Hicho kiuno oh oh oh oh
Hio miguno ah ah, ah ah
Wengine mwenzako sidhani, ah ah ah ah
Hiyo kiuno ah ah, ah ah

Kila kitu wengine wamebarikiwa
We umebarikiwa
Kila kitu wengine wamebarikiwa
We umebarikiwa

Hicho kiuno ah
Kama umefunga mota unanipeleka peleka puta
Na sina cha kusema 
Moyo ulivyousokota unanipandisha unanishusha

Tambua ya hivi bega, likaangwi  na likaliwagwa
Ni watu kuniumiza baby njoo ndo usiniwache mwana
Nisiwe nikajuta kukupata 
Ju walking yake nitakwenda lini
Mwenzako unanipa mashaka 
Jua kwenye mapenzi hakuna ujasiri
Ona njoo nikulinde ka bodyguard
Nikuite baby uniite daddy
Japo kidogo pokea zawadi
Chonde usinipe rate card mama

Ukiniona mtu mzima nalia 
Kwa ajili ya mapenzi yako usishangae
Maana umeniweza mama
Nyuma mkia wa pweza ah ah

Yaani umezidisha sifa na umenikoleza
Ukiniacha nisije nikakitapatae
Sitaki kukupoteza mama 
Mbele sioni makengeza

Maana hicho kiuno ah ah, ah ahHio miguno ah ah, ah ah

Mwingine mwenzako sidhani, ah ah ah ah

Hicho kiuno ah ah, ah ah

Hicho kiuno oh oh oh oh
Hio miguno ah ah, ah ah
Wengine mwenzako sidhani, ah ah ah ah
Hio miguno ah ah, ah ah

Kila kitu wengine wamebarikiwa
We umebarikiwa
Kila kitu wengine wamebarikiwa
We umebarikiwa

Related

ADVERTISEMENT