SHARE

Read Falling Again Lyrics By Kontawa

SHARE

Read And Sing Aloud Falling Again Lyrics By Kontawa. The song marks another time Kontawa made a hit song.

READ ALSO: Read Unyama Lyrics By Feza Kessy Ft Kontawa

Read Falling Again Lyrics By Kontawa Below:

Mdomo koma 

Mdomo nyamaza 

Mara ya kwanza nakuona 

Nilikuona kwenye Big Brother 

Nikaumia sana kuskia 

Una bwanaako 

Ili nisione wivu ikabidi nifumbe macho 

Nikaomba namba hadi kwa mashoga zako 

Wakanambia nikitaka Feza nikahustle 

But now ooooh oooh 

Nikiwa na rafiki zako huwa nawauliza swali 

For now ooh ooh 

Yupi anamiliki Feza kati yangu na serikali 

Hapo kati tembo na chui walinivuruga

Nikaona kama kwako ntapoteza muda

Ila uzuri mi nimesomea Cuba 

Nikachukua kiberiti

Nikachoma mbuga 

Me am falling in love again 

I swear am falling in love again 

Me am falling in love again 

Again Again 

I swear am falling in love again

 Again Again 

Watu wanasema ukiiba Feza 

Kuna kesi 

Mbona mi nimeziiba mbele ya Jeshi 

Na hizi salamu ziwafikie hadi Maex 

Nimeamua kuishi na Feza kama bank 

Baby kuna watu kwako 

Wanaleta chuki 

Achana nao bwana 

Akili zao fupi 

Wanakusema hata pumzi 

Hawakupi

Eti hiyo shepu umechonga Uturuki 

Matajiri wanakutaka eeeh 

Masikini wanakutafuta 

Oya me nimekupata aaah 

Wakatangaze msiba kwako nimekufa 

Hapo kati tembo na chui walinivuruga

Nikaona kama kwako ntapoteza muda

Ila uzuri mi nimesomea Cuba 

Nikachukua kiberiti

Nikachoma mbuga 

Me am falling in love again 

I swear am falling in love again 

Me am falling in love again 

Again Again 

I swear am falling in love again

Again Again 

Related

ADVERTISEMENT