SHARE

Sawa Lyrics by Jay Melody

SHARE

Jay Melody Lyrics

Read the official lyrics to 'Sawa' by Tanzanian singer Jay Melody. The song features an infectious melody and melodic lyrics, as well as a catchy chorus. It is the perfect summer song and is sure to be a hit with fans of afro-pop and tropical music.

Sawa Lyrics by Jay Melody
Sawa Cover

Jay Melody - Sawa Lyrics

Jay once again
Mapenzi tu
Nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali
Namwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu
Ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali
Mi nailamba tu

Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

Huo utamu hasa nikiingia
Akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia
Na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya kuchange idea
Hapo hapo nimemng’ang’ania
Hapo hapo nimeshikilia
Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua

Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

Read Other Latest Music Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT