SHARE

Read Leo Lyrics By Mabantu Featuring Marioo

SHARE

Read, sing aloud and enjoy Leo Lyrics By Mabantu Featuring Marioo. The song marks another time that Mabantu has connected with Marioo to produce a hit song.

Leo Lyrics By Mabantu ft Marioo

READ ALSO: Read Fall Lyrics By Platform Tz Featuring Marioo

Read, sing aloud and enjoy Leo Lyrics By Mabantu Featuring Marioo Below:

CHORUS

Leooo Mungu Ameniona, ameniona

Leooo Mungu Ameniona ameniona

VERSE 1

Jaza jaba gonga glasi leo mambo yote mneso (Amina)

Mungu amekata minyororo yote ya mateso (Amina)

Mvua Jua vilitupita na hatukua na leso (amina)

Ila tuliishi kwa imani tukiamini kesho (Amina)

Ukiona yanazidi sana majaribu,

Basi kusucceed ku karibu,

Nilidondoka nikainuka tena nikajaribu

Nikasema ipo siku Mungu atanijibu

CHORUS

Leooo Mungu Ameniona, ameniona

Leooo Mungu Ameniona ameniona

VERSE 2

Aaaah nilikuwa single ila leo niko na baby (Amina)

Nishalizwaga mpaka chozi nikajaza debe

Tena nabembelezwa nadekezwa dede (Amina),

Hatimaye leo tumewakata ngebe (Amina)

Wakileta leta mapepo (fire) wakitaka tuachane (fire)

Vineno neno vya chuki (fire)

Tukiachana mtuite mbwa tumekaa pale

CHORUS

Leooo Mungu Ameniona, ameniona,

Leooo Mungu Ameniona ameniona

VERSE 2

Leo natumia coz jana nilisettle (Amina)

Ile kupanda kushuka leo nami nina ghetto (Amina)

Dharau masimango tulishinda mateso (Amina)

Tuishi kwa imani na tuamini kesho ( Amina)

God when say nobody can say no nobody can say no

Mungu akisema inawezekana amna wakupinga wakupinga

CHORUS

Leooo Mungu Ameniona, ameniona

Leooo Mungu Ameniona ameniona

Related

ADVERTISEMENT