SHARE

Zoba Lyrics by D Voice

SHARE

Read and sing aloud Zoba Lyrics by D Voice. The Bongo Flava song marks D Voice's first release in the year 2024.

READ ALSO: Turudiane Lyrics by D Voice featuring Lavalava

rRead and sing aloud Zoba Lyrics by D Voice:

Kama kosa la macho 

Hata mkiziba msimuone 

Ndani ya moyo wangu 

Namuona yeye kimasomaso

Wenye wivu mukome 

Mtaambulia matandu 

Solo nala na yeye 

Na mkisema ananichuna 

Ntampa mpaka BOT 

Kama penzi taaluma 

Basi ye ana degree 

Kwake siwezi meza azuma 

Kitu swafi OG 

Midomo itawanuka kwa kununa 

Mngetafuna hata bigijii 

Aaaah ye ni wangu mimi 

Mimi ni wake yeye 

Wengine sasa wa nini 

Staki nichezewe 

Yeye ni wangu mimi 

Mimi ji wake yeye 

Wengine sa wa nini 

Staki nichezewe 

Mi kwake zoba 

Mimi kwake zoba 

Mimi kwake jinga 

Mimu kwake jinga 

Mi kwake zoba 

Mimu kwake zoba 

Mimi kwake jinga 

Mimu kwake jinga 

Mmh vyandani ni siri 

Kanikataza nsiseme

Ila ningewaambia 

Raha anazonipa 

Kunako alfajiri 

Anaparama mnazi 

Au geme 

Huku tunasinzia 

Mpaka tunafika 

Alafu darling nikupe siri 

Mi kwako chali 

Moyo na mwili 

Kama mie gari 

We ndio tahiri 

Usije ukaenda mbali 

Utanihadhiri 

Amina Amina 

Na iwe kheri Amina 

Daima daima 

Nkuvishe shera na hina 

Amina Amina 

Na iwe kheri Amina 

Daima daima 

Nkuvishe shera na hina 

Yeye ni wangu mimi 

Mimi ji wake yeye 

Wengine sa wa nini 

Staki nichezewe 

Yeye ni wangu mimi 

Mimi ji wake yeye 

Wengine sa wa nini 

Staki nichezewe 

Mi kwake zoba 

Mimi kwake zoba 

Mimi kwake jinga 

Mimu kwake jinga 

Mi kwake zoba 

Mimu kwake zoba 

Mimi kwake jinga 

Mimu kwake jinga 

Related

ADVERTISEMENT