SHARE

Read Yaya Lyrics By Rayvanny Ft Diamond Platnumz & Jux

SHARE

Read Yaya Lyrics By Rayvanny Ft Diamond Platnumz & Jux. The song has been well-received by fans in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Nitongoze Lyrics By Rayvanny Featuring Diamond Platnumz

Read Yaya Lyrics By Rayvanny Ft Diamond Platnumz & Jux Below:

Chui 

We zombie haujui 

Bad man 

Hama simba kama simba Dangote 

Eeeh 

Najua namadeni namatatizo ya kodi 

Hila pesa ya pombe na shisha sikosi 

Najua navipengelee watu wanapiga horn 

Aah 

Ila kuhonga mademu wazuri sichoki

Yeeeeeh 

Kama  umemchoka tuachie sisi

Nasemaje!

Tumle mpaka mifupi sisi ndo mafisi 

Kama umemchoka tuachie sisi

Tumle mpaka mifupa sis ndo mafisi 

Sawa nimeachikaa ila naburudika 

Aah 

Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika 

Nimeachika naburudika 

Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika 

I am a disco dancer 

I am a disco dancer 

I am a disco dancer 

I am a disco dancer 

Yaya yaya yaya yayayh 

We zombie 

Ongeza tena zikiisha 

Mwaga tano tano zidisha zidisha 

Babe akijipitisha pitisha 

Usiku mboga naichumbisha chumbisha 

Eeeh 

Wanajiita wamjini kati bebe zao tunazila chin chin chin 

Eeh 

Wabishoo ring ring

Kazi kulamba lips kitandani no ring

Ambie si mbwa wala paka 

Wajifunze kuzungumza kwa mipaka 

Demu wake kakufosi washa number

Shobo zake mwenyewe kalitaka 

Weweeeh

Kama umemchoka tuachie sisi 

Nasemaje 

Tumle mpaka mifupa sisi ndo mafisi 

Kama umemchuka tyachuie sisi 

Tumle mpaka mifupa sisi ndo mafisi 

Sawa nimeachika ila na burudikaaa

Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumikaaa

Nimeachika naburudika

Sipangiwi na paka yoyote  pombe zianmwagika 

Weweeeh 

I am a disco dancer

I am a disco dancer 

I am a disco dancer 

I am a disco dancer

Yaya yaya yayaaa yaya yaya yayaaa

Bad man

Wakule ndani wananyonga wida 

Ukitaka pasi pasi njoo barida 

Ashura ,Amina njoo Farida 

Wambie mbwana zenu hatutaki shida

Kama umemchoka tuachie sisi 

Nasemaje 

Tumle mpaka mifupa sisi ndo mafisi 

Weweeeh

Kama umemchoka tuachie sisi 

Tumle mpaka mifupa sisi ndo mafisi 

Sho me what you gat 

Chiki nting ching nting chiki nting 

Unachezaje 

Chiki nting ching nting chiki nting

Sawa nimeachika ila naburudika 

Eeh 

Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika 

Nimeachika naburudika 

Eeh 

Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika 

Weweeeh

I am a disco dancer 

i am a disco dancer 

I am a disco dancer 

I am a disco dancer 

Yaya yaya yayah yaya yaya yayah 

Related

ADVERTISEMENT