SHARE

Nitongoze Lyrics By Rayvanny Featuring Diamond Platnumz

SHARE

Read Nitongoze Lyrics By Rayvanny Featuring Diamond Platnumz. The song has been well received in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Tanzania's Rayvanny Makes Another Youtube Record In Africa | SEE DETAILS

Read Nitongoze Lyrics By Rayvanny Featuring Diamond Platnumz Below:

Weka shida chini glasi juu tujipongeze, 

Usijali wanafki wambea chapa mziki wote Tucheze 

Eeeh Vanny Boy 

Chui

Platnumz 

Maswali mengi kwa waiter hauna hela, nini (Eeti!?) 

Hiyo shingapi hii shingapi hauna hela nini 

Maswali mengi kwa waiter hauna hela, nini (Eeti!?) 

Hiyo shingapi hii shingapi hauna hela nini 

Nimeachwa staki tena maswali 

Naenda Beach kula upepo wa Bahari 

Naumwagilia moyo mziki kwa mbali

Jimbo lipo wazi sema nitakubali 

Eti unataka? 

Eti unanipenda 

Basi nitongoze 

Unantaka? 

Eti unanipenda 

Basi nitongoze 

Unantaka? 

Eti unanipenda 

Basi nitongoze 

Eeeh Bwana Weee 

Hela ya kodi

Nainywea Pombe 

Baba mwenye nyumba akileta fyoko natia makonde 

Na kama hayanogi mapenzi usikonde 

Akiringa akwende Chukua mwingine sio kinyonge 

Yu kwapiii? 

Yu kwapiii huyo! 

Basi nitongoze

Yu kwapiii? 

Yu kwapiii huyo! 

Basi nitongoze

Yu kwapiii? 

Yu kwapiii huyo! 

Basi nitongoze

Nimeachwa staki tena maswali 

Naenda Beach kula upepo wa Bahari 

Naumwagilia moyo mziki kwa mbali

Jimbo lipo wazi sema nitakubali

Eti unataka? 

Eti unanipenda 

Basi nitongoze 

Unantaka? 

Eti unanipenda 

Basi nitongoze 

Unantaka? 

Eti unanipenda 

Basi nitongoze 

Unantaka? 

Eti unanipenda 

Basi nitongoze

Eeeh Bwana Weee

Onyesha Boxer Ash tuone boxer 

Nyenyua shati ingia kati tuone boxer 

Onyesha Boxer Ash tuone boxer 

Nyanyua shati ingia kati tuone boxer

Related

ADVERTISEMENT