SHARE

Read "Sing" Lyrics By Marioo

SHARE

Read And Enjoy Sing Lyrics By Marioo. The song marks another time Marioo has scored a hit in Tanzania and East Africa.

READ ALSO: Read Nikazama Lyrics By Marioo

Read Sing Lyrics By Marioo Below:

Moyo kwako umekaa kaa oweyoo 

Kila ukidunda Paa paaa oweo 

We ndo nnaekuwazaga ga ga oweo 

Waniwezaga oweo 

Usifanye njia kwamba umenipitia 

Utaniumiza dear 

Nami mwanadamu mwenye moyo 

Na majonzi pia 

Si unasikia kulialia 

Ndo nnachokihofia 

Kama ushanigonga basi nionee 

Huruma usiongeze gear 

Uuuh nanana uwepo wako 

Mi mwenzako naenjoy 

Uuuh nana yani kwako 

Nyang’anyang’a nipo hoi 

Oooh nanana mi kwako sisemi 

Sikohoi 

Oooh nanana si unajua moyo 

Moyo wangu kwako umekaa ka ka oweo 

Kila ukidunda Paa paaa oweo 

We ndo nnaekuwazaga ga ga oweo 

Waniwezaga 

You dey make me sing 

Aaaah Aaaah Aaaaah 

Baby Aaahh

Aaaah Aaaah Aaaaah 

Baby you dey make me sing 

Yani mpaka ladha zao 

Za zamani nimesahau

Mesahau 

Sura zao za zamani nasahau 

Nasahau 

Maana nikisikia kuhusu upendo 

Nakuwaza wewe tu mahabuba 

Na nikitakaga upendo 

Nawaza lako tu huba 

Na tukikwenda kwenye tendo 

Unanifikishaga mpaka Cuba 

Unakabaga uachi pengo 

Si unajua 

Moyo wangu kwako umekaa ka ka oweo 

Kila ukidunda Paa paaa oweo 

We ndo nnaekuwazaga ga ga oweo 

Waniwezaga 

You dey make me sing 

Aaaah Aaaah Aaaaah 

Baby Aaahh

Aaaah Aaaah Aaaaah 

Baby you dey make me sing 

Aaaah Aaaah Aaaaah 

Baby Aaahh

Aaaah Aaaah Aaaaah 

Ona naimba 

Baby you dey make me sing 

Related

ADVERTISEMENT