SHARE

Read Nikazama Lyrics By Marioo

SHARE

Read And Sing Aloud Nikazama Lyrics By Marioo. The song is now making waves in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Marioo Rocks With Paula Kajala In His New "Lonely" Video | WATCH

Read Nikazama Lyrics By Marioo Below:

Sina baya na wewe 

Wala sijakukunjia 

Ila sometimes mahasira si unajua 

Wanadamu 

Sina noma na wewe 

Wala sijakununia 

Ila nimekublock kwa sababu nkikuona 

Nakosa hamu ya kula hata kulala 

Mwenzako kazi nashindwa hata kufanya 

Umenilogea wapi wewe 

Aaaaah 

Nashindwa kula wala kulala 

Mwenzako kazi siwezi 

Hata kufanya 

Umenilogea wapi wewe 

Hapana hujaniloga hujaniloga 

Labda tu penzi lilinoga

Nikakupenda kiukweli ukweli 

Nikaingia 

Nikazama nikazama 

Nikazama nikazama 

Likitajwa jina lako ooooh 

Moyo unanidunda ooooh 

Yanijia sura yako ooooh 

Siwezi kurudiana sitaki kurudiana 

Ila sipendi kunakia na 

Dukuduku rohoni 

Tulipendana kwa shida 

Tukaachana kifala sawa 

Japo nililia mpaka ndugu 

wakasema umeniloga 

Hapana hujaniloga hujaniloga 

Labda tu penzi lilinoga

Nikakupenda kiukweli ukweli 

Nikaingia 

Nikazama nikazama 

Nikazama nikazama 

Related

ADVERTISEMENT