SHARE

Read Pole Lyrics by Mimi Mars Featuring Nandy

SHARE

Read and sing Pole Lyrics by Mimi Mars Featuring Nandy. The song has been well-received in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Tanzania's Nandy comes through with a new song 'Follow'

Read Pole Lyrics by Mimi Mars Featuring Nandy below:

Hivi ushasikia 

Mtu anaogeshwa na mdalasini

Maana sio jina anataja mpaka ubini

Tena akiumwa huwaga hataki quinine 

Anachokitaka kuniona mimi 

Tena mkaka kwangu ndo kafall oooh 

Yani mazima 

Kwangu hana shaka 

Kwako atakuja tomorrow

Yani kazima 

Nikuambie tu me ndo wa kwanza 

Kama ukitaka kukiwasha tunakiwasha 

Nikuambie tu me ndo wa kwanza 

Kama ukitaka kukiwasha tunakiwasha 

Nasema pole wacha nikupe pole 

Mwenzangu pole wacha nikupe pole 

Utanifanya nini kwanza kwa mfano

We utajuaje tupo watano 

Hata kwangu mimi yaliyomo yamo 

Oooh yaliyomo yamo

Nampa vya pwani vya kizaramo 

Tena usijaribu mashindano 

Huniwezi hata kimuonekano 

Aaaah muonekano 

Sina noma sina noma 

Nnachotaka kukuambia 

Sisi tushapendana 

Sina noma sina noma 

Nnachotaka kukuambia 

Sisi tushapendana 

Nikuambie tu me ndo wa kwanza 

Kama ukitaka kukiwasha tunakiwasha 

Nikuambie tu me ndo wa kwanza 

Kama ukitaka kukiwasha tunakiwasha 

Nasema pole wacha nikupe pole 

Mwenzangu pole wacha nikupe pole 

Related

ADVERTISEMENT