SHARE

Read Only You Lyrics By Barnaba Classic Featuring Jay Melody

SHARE

Read, enjoy and sing aloud Only You Lyrics By Barnaba Classic Featuring Jay Melody. The song is track number 10 on Barnaba Classic's "Love Sounds Different Album"

Barnaba Classic Only You Lyrics

READ ALSO: Read Hadithi Lyrics By Barnaba Classic Featuring Diamond Platnumz

Read, enjoy and sing aloud Only You Lyrics By Barnaba Classic Featuring Jay Melody Below:

VERSE 1

Moyo pupa sijui kwanini undadunda sana

Oooh aibu macho yako ukinitazama

Ukitaka chips yai, asubuhi vitafunwa chai,

I feel you mbaya, Ooh eti mbaya

Kama malaika ulivyoumbika mithili ya kinanda au gitaa

Nikupige mbaya, Ooh eti mbaya

BRIDGE

Mmmmh siutani siutani mamaa kwenye hilo tope mi nishazama (nshazama mazima)

So usije kunichanganya, ntalia machozi ntakusemea kwa mama, kwangu ni wewe tu

Only you, Only you (ni wewe tu) Only you, Only you (kwangu ni wewe tu)

Only you Only you Only you (Kwangu ni wewe tu)

VERSE 2

Mtoto idara zote yuko fine fine, umbo na sura she looks fine fine

Ananimudu kidume niko fine fine

Kwenye baridi we joto njoo nkupe peremende au jojo

Na kidume nishajaza ndoo tupunguze hata kikopo

Kukwacha siwezi we nazi mi mkwezi,

Nimelewa mapenzi umeni overdozi (umeni overdoze)

Ndo nimepata kwinini, madaktari wengine wa nini

Amenitibu na maini ameniwini nimemuwini

BRIDGE

Mmmmh siutani siutani mamaa kwenye hilo tope mi nishazama (nshazama mazima)

So usije kunichanganya mpenzi , ntalia machozi ntakusemea kwa mama, maana ni wewe tu

CHORUS

Only you (forever you being all mine) Only you (nikikosea usimind)

Only you Only you (forever you be ma mine)

OUTRO

We npepee dawa, usininyime mimi dawa, forever be mine (dawa),

usininyime mimi (dawa) we kwangu dawaa, usininyime mimi dawa forever you be mine (dawa)

Usininyime mimi dawa, Naaah

Related

ADVERTISEMENT