SHARE

Read Nitaubeba Lyrics By Harmonize

SHARE

Read and enjoy Nitaubeba Lyrics By Harmonize. The song is produced by Tanzanian music genius B-Boy Beats.

Nitaubeba Lyrics Harmonize

READ ALSO:Read Amelowa Lyrics By Harmonize

Read and enjoy Nitaubeba Lyrics By Harmonize Below:

VERSE 1

Imagine uko jangwani umepotea mchana juani unatembea

Utokapo ni mbali uendapo ni mbali

Mara ngamia mbebaji akatokea na kukushusha mzigo uliokuelemea

Upate afadhali pole na safari

And thats why today to me yote tisa ila kumi umeonesha maana ya upendo

Si kwa maneno bali kwa vitendo,

Umeridhika na nilichonacho vya watu hutoleagi macho

Siku nikiwa sina twalala Oooh baby twalala

Aaaah baby if i close my eyes mi namuomba Mungu akulinde

Na akusimamie we ndo pacha wangu mie

BRIDGE

Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena, sikusikii ukilia sikusikii ukisema

Niko busy na boo jamani nimeshasema, niko busy na baby na msalaba wake

CHORUS

Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume

Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha) nitaubeba (ama kwenye shibe na njaa)

La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiume

VERSE 2

Imagine hujifahamu umezimia umewekewa damu zinaingia

Bomba ikafunguka na huwezi hata nyanyuka

Mara dakitari wa zamu akaingia umepata fahamu unamwangalia

Machozi yanakuanguka unatamani funguka

And that's why today to me yote tisa ila kumi unanifurahisha kwenye tendo

Au unipe penzi la magendo

Aaaah baby if i close my eyes mi namuomba Mungu akulinde

Na akusimamie we ndo pacha wangu mie

BRIDGE

Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena, sikusikii ukilia sikusikii ukisema

Niko busy na boo jamani nimeshasema, niko busy na baby na msalaba wake

CHORUS

Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume

Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha) ntaubeba (ama kwenye shibe na njaa)

La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiume

OUTRO

Iwe kwenye shida na raha ama kwenye shibe na njaa

La kwako ndo langu my darling

LISTEN TO THE SONG HERE:

Related

ADVERTISEMENT