SHARE

Read Nateswa Lyrics By Rayvanny

SHARE

Read Nateswa Lyrics By Rayvanny. The heartbreak song is a track in Rayvanny's recently released EP titled Unplugged Session.

READ ALSO: Nitongoze Lyrics By Rayvanny Featuring Diamond Platnumz

Read Nateswa Lyrics By Rayvanny Below:

VERSE 1

Hivi nachezea rhumba ama bolingo nangai maana nina kiwembe kwenye vita ya masai

Wanitesa mchumba nimependa sishangai penzi kitovu uzembe mi nalia we furahi

Ila musiende nyumbani za wageni walete nyumbani kwangu

Chunga taratibu na chaga msije vunja kitanda changu nimekunulia na feni msisweti mke wangu kama majasho mkimwaga litumie taulo langu

BRIDGE

Naaa Baya lako zuri kwangu yote nimekusamehe kosa la kwako lawama kwangu acha tu nijitetee

Furaha yako furaha yangu sipendi unyong'onyee ukimpenda rafiki yangu sema nikutongezee

Utamu wa pipi ni mate yangu wapika na mimi wanakula wenzangu

Ona nakosa siti kwenye gari langu kuleni embe acheni kokwa langu

CHORUS

Nateswa nateswa mwenzenu nateswa na mapenzi

Jamani nateswa nateswa mwenzenu nateswa na mapenzi

VERSE 2

Mapenzi anapanga maanani sitaki kuruka kuruka sawa ni pande kichwani ukichota itashuka

Niite mfanyakazi wa ndani huna haja kusumbuka kwani anakuja muda gani niwatandikie shuka

Siogopi kushare ila usisahau kinga japo kwangu fedheha kuku wa chando nashinda

Kweli wanionea nakubali we ndo bingwa nipo radhi kulea kama wakikupa mimba

BRIDGE

Naaa Baya lako zuri kwangu yote nimekusamehe kosa la kwako lawama kwangu acha tu nijitetee

Furaha yako furaha yangu sipendi unyong'onyee ukimpenda rafiki yangu sema nikutongezee

Utamu wa pipi ni mate yangu wapika na mimi wanakula wenzangu

Ona nakosa siti kwenye gari langu kuleni embe acheni kokwa langu

CHORUS

Nateswa nateswa mwenzenu nateswa na mapenzi

Jamani nateswa nateswa mwenzenu nateswa na mapenzi

Related

ADVERTISEMENT