SHARE

Read Mchepuko Lyrics By Rayvanny Ft Phina

SHARE

Read And Sing Aloud Mchepuko Lyrics By Rayvanny Ft Phina. The song is found in his recently released Flowers III EP.

READ ALSO: Read Mwambieni Lyrics By Rayvanny Ft Macvoice

Read Mchepuko Lyrics By Rayvanny Ft Phina Below:

Mtoto wa kike punguza sifa 

Unavyojituma hadi unatoa mishipa 

Wana ni wangu ila unavyojipandisha 

Viuno ni vingi chunga isije katika 

Hujui kama tuko kwenye ndoa 

Au umepanga kunikomoa 

Unavyomganda hadi unaboa 

Na una waganga kila mkoa 

Anakusifia kiuno 

Na unavyotoa miguno 

Wake mfano sugunyo 

Hadi unasahau kurudi nyumbani 

Una mafuta na asali 

Ukipandaga hushuki una hatari 

Uvunguni juu ya dari 

Leo nimekufuma hii show utakubali 

Mchepuko we mchepuko we 

Mchepuko niachie baby wangu 

Mchepuko we mchepuko we 

Mchepuko hebu muache 

Mume wangu 

Sa nisikilize bibi koma 

Simu za usiku zimezidu koma 

Unajifanya Beyonce wa kijiji koma 

Eti una viuno vya Shakira koma 

Hujui unanitia hasira eeeh 

Ntakukata shingo 

Baby hasira hasara 

Usikunje ngumi acha kuchimba mikwara 

Huyu anaitwa Sara 

Mtoto wa dada kutoka Mbezi Kimara 

Basi punguza papara 

Viwembe vya nini umnyoe mwenzio kipara 

Wanawake wawili msala 

Nimejua ninu kilimshinda Manara 

Iiih si wanaume 

Sio wasaliti mnatusingizia 

Si wanaume eeeh 

Si wanaume eeeh 

Ni vishawishi ndo vinatuzingua 

Baby acha basi minuno 

Unataka vunja mtu kiuno 

Kuchwa visa sio mfumo 

Usije kuua uende gerezani 

Umechafukwa una makali

Mama usinimwagie tindikali 

Hiyo bunduki ni hatari 

Ona mtoto wa kike huogopi serikali 

Mchepuko we mchepuko we 

Mchepuko niachie baby wangu 

Mchepuko we mchepuko we 

Mchepuko hebu muache 

Mume wangu 

Sa nisikilize bibi koma 

Simu za usiku zimezidu koma 

Unajifanya Beyonce wa kijiji koma 

Eti una viuno vya Shakira koma 

Hujui unanitia hasira eeeh 

Ntakukata shingo 

Related

ADVERTISEMENT