SHARE

Read Mwambieni Lyrics By Rayvanny Ft Macvoice

SHARE

Read Mwambieni Lyrics By Rayvanny Ft Macvoice. The song is found in Rayvanny's blockbuster EP titled "Flowers III"

READ ALSO: Read One Day Lyrics By Rayvanny

Read Mwambieni Lyrics By Rayvanny Ft Macvoice Below:

Mwambieni Nampenda Bila yeye

Mi siwezi mwambieni Nampenda

Bila yeye Mi siweziAti simtaji jina 

Fundi wa Raha zangu Kiboko yangu

Sio mpaka niseme Yule nina mpenda sana 

Roho yangu Anajijua

Mwenye moyo wangu Sio mpaka niseme

Kwanza tuanze rangi yake

Aaaah  jamani ipo mwake

Natamani nione kopo lake

Amenunua wapi duka lake

Kisha tuje kwenye umbo lake ah!

Hapo lazima udate Usije kutokwa mate

Mambo ya uturuki tuyaache

Maana mtoto kanawiri

Jaama! kumuacha uwe jasiri saana!

Nimeshindwa kuwa bahiri

Mama! we nichune hadi kandambili

Sawa

Babe pose geuka freeze

Nipe tabasamu la picha cheese

You are so mwaaa!

You are so cute

Kwako nime wehuka kabisa chizi

mwambieni

Nampenda Bila yeye

Mi siwezi mwambieni

Nampenda Bila yeye

Mi siwezi Ati simtaji jina

Fundi wa Raha zangu Anajijua

Kiboko yangu Sio mpaka niseme

Yule nina mpenda sana (Anajijua)

Roho yangu Mwenye moyo wangu (Anajijua)

Sio mpaka niseme

Leo nawatambulisha

Mliokuwa hamjui

Hapa ndo nimetika mwenzenu

Shemeji yenu huyo Kwake najibebisha

Usiku asubuhi

Tongonza tongoza ama zangu ama zenu

Kwake najibebisha

Usiku asubuhi

Tongoza  tongoza ama zangu ama zenu

Shemeji yenu huyo

Ye ndo tiba ya mwili

Mama anituliza akili...Jama

Ma Ex mtasubiri

Sanaaa

Kumuacha sitikiriii

Oooh! oh!

Pose Geuka Freeze

Nipe tabasamu la picha cheese

You are so mwaaaa!!!

You are so cute

Kwako nimewehuka kabisa chizi

Mwambieni Nampenda Bila yeye

Mi siwezi mwambieni Nampenda

Bila yeye Mi siweziAti simtaji jina 

Fundi wa Raha zangu Kiboko yangu

Sio mpaka niseme Yule nina mpenda sana 

Roho yangu Anajijua

Related

ADVERTISEMENT