SHARE

Read Raha Lyrics By Nandy

SHARE

Read Raha Lyrics By Nandy. The Bongo Fleva song has been well-received by fans in Tanzania and East Africa.

READ ALSO: Read Falling Lyrics By Nandy

Read Raha Lyrics By Nandy Below:

Nawaza ingekuwaje kama ningekukosa 

Nawaza

Ina maana hizi raha zote ningezikosa 

Nawaza 

Penzi limenikolea kama mtoto 

Nashindwa tembea 

Raha zimenibobea 

Kwa mama nitakusemea 

Si wanasemaga penzi bonde na milima 

Nipeleke unachonipaga 

Usidiriki kuninyima 

Mi nideke 

Penzi limetaradadi oya halima 

Acha nicheke 

Nilale ama mi nisisimame wima 

Unanipa raha 

Nazidj kuwa mdogo

Mi sikuwi 

Unanipa raha 

Nifanye kitafunwa unile 

Unanipa raha 

Zidi kunifundisha sivijui

Unanipa raha 

Nianze kukulisha ndo nile 

Oooh Ooooh 

Oooh Ooooh 

Hadi kuacha zinaisha 

Nikikuona nazing’ata 

Unavyonizubaisha 

Mi napagawa 

Oooh yani tu 

Tuache yote tisa 

Kumi nakupa limbwata 

Unavyoniburudisha 

Mi napagawa 

Nakupenda unanipenda 

Mpaka raha 

Nikikuona tu nashiba sina njaa 

Hili penzi limejawa na furaha 

Wakikuiba natoa mtu kafara

Si wanasemaga penzi bonde na milima 

Nipeleke unachonipaga 

Usidiriki kuninyima 

Mi nideke 

Penzi limetaradadi oya halima 

Acha nicheke 

Nilale ama mi nisisimame wima 

Penzi limetaradadi oya halima 

Acha nicheke 

Nilale ama mi nisisimame wima 

Unanipa raha 

Nazidi kuwa mdogo

Mi sikuwi 

Unanipa raha 

Nifanye kitafunwa unile 

Unanipa raha 

Zidi kunifundisha sivijui

Unanipa raha 

Nianze kukulisha ndo nile 

Related

ADVERTISEMENT