SHARE

Read Puuh Lyrics By Billnass Featuring Jay Melody

SHARE

Read Puuh Lyrics By Billnass Featuring Jay Melody. The song marks anothewr time Billnass has created an anthem.

READ ALSO: Read Utaonaje Lyrics By Billnass Ft Rayvanny

Read Puuh Lyrics By Billnass Featuring Jay Melody Below:

INTRO

Ili penzi la ukweli baby nipe tu

Na ukinikuta nimelala unakuja juu

Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu

Na ukinikumbatia moyo unadunda

puuh

CHORUS

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

VERSE 1

Wacha niseme kitu buu

Siwezi kukutoa machozi

Kila siku kwetu sikukuu

Valentine sio inshu kwetu

Si ni siku tu

Najua unapenda zawadi magift

Na ndo mana na work hard nikufixi

Iwe shida ya mavazi chakula na

maradhi

Sometimes niko radhi nijirisk

Nachofurahi hata nikikosa unaniombea kwa Mungu

Wapo waliowahi nitosa kisa sina fungu

Nakumbuka long time ilivyokuwa hard time

Kabla hujanitoa kwa hukumu

BRIDGE

Ushaambiwa maneno shaziii Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

Ushaambiwa maneno shaziii Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

CHORUS

Ili penzi la ukweli baby nipe tu

Na ukinikuta nimelala unakuja juu

Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu

Na ukinikumbatia moyo unadunda

puuh

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

VERSE 2

Check ulivopinda ukivaa unapendeza

Team ishakuamini chagua namba

utayocheza

Macho ya kichokozi yani kama

unakonyeza

Spending money for your love kwako

nawekeza

Zuuu zuuu zuuu zuuu ushanizuzua

Nishakuvisha vyeo (….)

Na kitu usichojua hata wakisema

unajiuza wambie mi ndo nnayekununua

BRIDGE

Ushaambiwa maneno shaziii Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

Ushaambiwa maneno shaziii Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

CHORUS

Ili penzi la ukweli baby nipe tu

Na ukinikuta nimelala unakuja juu

Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu

Na ukinikumbatia moyo unadunda

puuh

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Related

ADVERTISEMENT