SHARE

Read Nakuja Remix Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo, Maua Sama & Darassa

SHARE

Read Nakuja Remix Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo, Maua Sama & Darassa. The song has been well-received in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Read Nakuja Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo

Read Nakuja Remix Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo, Maua Sama & Darassa Below:

I gotta stay on ground

Bado nna mishemishe 

Nimesahau birthday ya Sista 

Nenda unaniwakilishe 

Hakunaga suspicion

Hata wajirahisishe 

Wengi had the same vision 

Kucomplete this mission 

Mi ndo msingi na ndo 

Nshakuwa mdingi

Hii ni game ya ushindi 

Na nimeshaingia kingi 

Niko huku niko kule na nishapita Shilingi 

Mambo sio mepesi kupita pita vigingi 

Aaaah a soldier hustle zimenoga 

Shopping Fashionova 

Nakuletea nguo pia viatu na mikoba 

Kwa sonara kuna pete nimeweka oda 

Ntajiiba mara moja go hide no tell 

There’s a place we gon stay 

The suitable room for you 

And its already paid 

East and drink swim like a mermaid 

Am coming to play 

Daddy his on her way baby 

Nakuja baby nakuja 

Njiani nachanja mbuga 

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja

Nikamate Nikamate Nikamatie Kamarie usinibwage

Baby hold me down ntulieee eeeh 

Nipatie yote hiyo ya kwangu mimi eeeh 

Unapogusa gusa niko hoi 

Haupoi hauboi 

Popote naposhika naenjoy 

Sikatai sichomoi 

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja

Kama ajali mie kwako nyang'anya

Uhodari utafanya nilie wakininyang'anya

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja

Ooh baby njoo njoo njoo kulosa 

Uwooh wooh 

Oooh baby come come come kulosa 

Uwooh wooh 

Kwani umeumbwa kwa udongo ama umefinyangwa kama dongo 

Baby kwani umenipiga zongo walah umefinyangwa kama dongo 

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Kama ajali mie kwako nyang'anya

Uhodari utafanya nilie wakininyang'anya

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Kama ajali mie kwako nyang'anya

Uhodari utafanya nilie wakininyang'anya

Related

ADVERTISEMENT