SHARE

Read Nakuja Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo

SHARE

Read Nakuja Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo. The song marks another time that Tommy Flavour has scored a hit song.

READ ALSO: Numero Uno Lyrics By Tommy Flavour Ft Tanasha Donna | READ

Read Nakuja Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo Below:

Mmmh oyeee 

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Kama ajali mie kwako nyang'anya

Uhodari utafanya nilie wakininyang'anya

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Nikamate Nikamate Nikamate Nikamate usinibwage 

Baby let me be romantic hatulali we don't mind them 

Mmh navuta picha ulivyo teacher mambo joro joro

Mama bonita murembo mororo 

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Kama ajali mie kwako nyang'anya

Uhodari utafanya nilie wakininyang'anya

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Ooh baby njoo njoo njoo kulosa 

Uwooh wooh 

Oooh baby come come come kulosa 

Uwooh wooh 

Kwani umeumbwa kwa udongo ama umefinyangwa kama dongo 

Baby kwani umenipiga zongo walah uuuuh 

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Kama ajali mie kwako nyang'anya

Uhodari utafanya nilie wakininyang'anya

Nakuja baby nakuja allow me baby nakuja 

Nakuja baby nakuja allow me allow me baby nakuja 

Kama ajali mie kwako nyang'anya

Uhodari utafanya nilie wakininyang'anya

Nakuja Lyrics By Tommy Flavour Ft Marioo

Related

ADVERTISEMENT