SHARE

Read My Babe Lyrics By Rayvanny

SHARE

Read My Babe Lyrics By Rayvanny. The song marks another time that the BET Awards winner has scored a hit song in East Africa.

READD ALSO: Read Dance Lyrics By Rayvanny Ft Jay Melody

Read My Babe Lyrics By Rayvanny Below:

Aii jamani mbona umenikaa kichwani 

Umenipa kitu gani baby wangu 

Hadi natamani nikufiche chumbani 

Wasikuone visirani baby wangu 

Nililia kwa mwenyezi akayaona machozi 

Kanipa wewe kipenzi kipenzi 

Ntaimba na tenzi nikutulize laazizi 

Maana kwako am dead oooh am dead 

Amenishika kanikamata 

Mwambieni shemeji yenu apunguze raha 

Huba shata shata nanenepa 

Mwambieni shemeji yenu apunguze raha 

My sweet sweet babe huyeah 

You are my baby 

Sweet sweet babe onana 

You are my babe 

My sweet sweet babe huyeah 

You are my baby 

Sweet sweet babe onana 

You are my babe 

Oooh oooh 

Ulikuwa rafiki ukawa mpenzi 

Sasa ni rafiki tunaefanya mapenzi 

Kwako niko real sio kama na-pretend no! 

Yani toka tuna dhiki sasa tuna chenji 

Nina kupongeza umevumloa mengi 

Chuki hazijengi kugombana siwezi no 

Babe you teach me how to love 

You teach me how to care 

And forever I’ll be there for you uuuh 

Mtoto unawakawaka 

Mtoto umetakata kata mrembo 

Nililia kwa mwenyezi akayaona machozi 

Kanipa wewe kipenzi kipenzi 

Ntaimba na tenzi nikutulize laazizi 

Maana kwako am dead oooh am dead 

Amenishika kanikamata 

Mwambieni shemeji yenu apunguze raha 

Huba shata shata nanenepa 

Mwambieni shemeji yenu apunguze raha 

My sweet sweet babe huyeah 

You are my baby 

Sweet sweet babe onana 

You are my babe 

My sweet sweet babe huyeah 

You are my baby 

Sweet sweet babe onana 

You are my babe 

Oooh oooh 

Related

ADVERTISEMENT