SHARE

Read Maokoto Lyrics by Mabantu and Navy Kenzo

SHARE

Read Maokoto Lyrics by Mabantu and Navy Kenzo. The song has been well received by fans in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Read Maokoto Lyrics By Billnass Ft Marioo

Read Maokoto Lyrics by Mabantu and Navy Kenzo below:

Usione tuna furaha kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione tunalewa kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione tunapendana kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione bata tunakula bata mwanzo 

Haikuwa rahisi 

Kumaanisha nini 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Because mwanzo haikuwa rahisi 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Because mwanzo haikuwa rahisi 

Jana jumapili kabla jumapili goma 

Leo tunavesha leo tunachoma 

Dj Asumami vine tunataka ngoma 

Waiter zungusha hivyo vinyama choma 

Oyaaa maokoto maokoto 

Yamekubali yamekubali 

Hatuogopi Bill Hatuogopi Bill 

Hawatudai Hawatudai

Oyaaa maokoto maokoto 

Yamekubali yamekubali 

Hatuogopi Bill Hatuogopi Bill 

Hawatudai Hawatudai

Kumaanisha nini 

Usione tuna furaha kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione tunalewa kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione tunapendana kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione bata tunakula bata mwanzo 

Haikuwa rahisi 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Because mwanzo haikuwa rahisi 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Because mwanzo haikuwa rahisi 

She got a long hair sting like antenna 

Getting money not the entertainer 

Who you follow dont matter 

What you feel like 

Hold your gun can’t tell a hater 

My baby nae kamjengea kaghotofa 

Mommy girl dey flexing the check 

And fella eeeh 

Everybody is a blessing 

All we do is a blessing 

Ufukara matatizo yamekwisha 

Mola kaamua kutupandisha 

Ni muda sasa umefika 

Kweli haikuwa rahisi 

Maokoto 

Oooooh yamekubali 

Ooooh hatuogopi bill hawatudai 

Usione tuna furaha kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione tunalewa kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione tunapendana kinoma maana 

Mwanzo haikuwa rahisi 

Usione bata tunakula bata mwanzo 

Haikuwa rahisi 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Because mwanzo haikuwa rahisi 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Tumejipata mwaisa 

Because mwanzo haikuwa rahisi

Related

ADVERTISEMENT