SHARE

Read Majina Yote Mazuri Lyrics By Dedo Dieumerci Ft Naomi Mugiraneza

SHARE

Read Majina Yote Mazuri Lyrics By Dedo Dieumerci Ft Naomi Mugiraneza. The song has been well received in Tanzania

READ ALSO: Rose Muhando - Secret Agenda Lyrics

Read Majina Yote Mazuri Lyrics By Dedo Dieumerci Ft Naomi Mugiraneza Below:

Majina Yote Mazuri ni yako Eh

Jehova Muumbaji Wangu

Nikupe Jina Gani Kwani Kila

Lakiheri ni Upekee Wako

Majina Yote Mazuri ni yako Eh

Jehova Muumbaji Wangu

Nikupe Jina Gani Kwani Kila

Lakiheri ni Upekee Wako

Majina Yoooteeee!

Majina Yote Mazuri ni yako Eh

Jehova Muumbaji Wangu

Nikupe Jina Gani Kwani Kila

Lakiheri ni Upekee Wako

Nikuupeee Jina Gani!!!

Nikupe Jina Gani Kwani Kila

Lakiheri ni Upekee Wako

Majina Yooteee!!!!

Majina Yote Mazuri ni yako Eh

Jehova Muumbaji Wangu

Nikupe Jina Gani Kwani Kila

Lakiheri ni Upekee Wako

Umeniponyaaa!

Umeniponya Nakuita Jehova

Rapha Mungu, Mponyaji Wangu

Umenikoaaa!!

Umeniokoa nakuita Mwokozi

Bwana Mungu wa Wokovu wangu

Umenipigania!!!

Umenipigania nakuita Jehova

Nisi Bendera ya Ushindi wangu

Umeniponya!!

Umeniponya Nakuita Jehova

Rapha Mungu, Mponyaji Wangu

Umeniokoa!!

Umeniokoa nakuita Mwokozi

Bwana Mungu wa Wokovu wangu

Umenipigania Yesu!!!

Umenipigania nakuita Jehova

Nisi Bendera ya Ushindi wangu

Umenipigania!!!!!

Umenipigania nakuita Jehova

Nisi Bendera ya Ushindi wangu

Usifiiiiweee!!!

Usifiwe ewe bwana MUUMBA

Wangu na Nuru yangu

Wema wako wanijaza Moyoni…

Wewe ndiwe Mchungaji wangu

Tena Kiongozi wa Maisha yangu

Wanitazama kama mboni ya jicho lako

Usifiwe ewe bwana MUUMBA

Wangu na Nuru yangu

Wema wako wanijaza Moyoni…

Wewe ndiwe Mchungaji wangu

Tena Kiongozi wa Maisha yangu

Wanitazama kama mboni ya jicho lako

Usifiwe ewe bwana MUUMBA

Wangu na Nuru yangu

Wema wako wanijaza Moyoni…

Wewe ndiwe Mchungaji wangu

Tena Kiongozi wa Maisha yangu

Wanitazama kama mboni ya jicho lako

Umenifanyaaaa!!

Umenifanya kuwa kielelezo cha walio barikiwa

Zaidi ya yote ukanifanya kuwa Baraka

ili nami nibariki

Nimekupata wewe nami nikaridhika

Wewe ni yote ndani ya yote

Usifiwe ewe bwana MUUMBA

Wangu na Nuru yangu

Wema wako wanijaza Moyoni…

Wewe ndiwe Mchungaji wangu

Tena Kiongozi wa Maisha yangu

Wanitazama kama mboni ya jicho lako

Related

ADVERTISEMENT