SHARE

Kunguru Lyrics by Mbosso

SHARE

Mbosso Lyrics

Tanzanian singer and songwriter has released a brand new song titled Kunguru and here the full lyrics of the Bongo Flava song.

READ ALSO: Umechelewa Lyrics by Mbosso 

Read Kunguru Lyrics by Mbosso below:

Huyo huyo

Huyo huyo huyo huyo huyo

Huyo huyo

Nilikuwa na mpenzi mpenzi mpenzi mpenzi mpenziii

Nikasema kumuacha siwezi siwezi siwezi siweziiii

Akanifanyia ushenzi ushenzi ushenzi ushenzi ushenziiii

Nikayachukia mapenzi mapenziii

Leo Kaanza Kuniita Bebe (Ananiita bebe)

Hivi ananiona mi bwege (Ananiona bwege)

Anajilegeza lege

Anataka tena mshedede

#CHORUS

Mxiieeew

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru kunguru

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru, kunguru

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru kunguru

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru, kunguru

VERSE

Ndio basi (Ndio basi tena)

Haunipati (Haunipati tena)

Oooh! ndio Basi (Ndio Basi tena)

Haunipati (Haunipati tena)

Naukoo kome.. Kujitumisha meseji

Naukoo kome.. Kuniita ita baby

Naukoo kome.. Kujitumisha meseji

Naukoo kome.. Kuniita ita baby

Oya kaanza kuniita bebe (Ananiita bebe)

Hivi ananiona mi bwege (Ananiona bwege)

Anajilegeza lege

Anataka tena mshedede

#CHORUS

Mxiieeew

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru kunguru

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru, kunguru

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Wanini.. Wanini.. Wanini mimi wanini

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru kunguru

Fukuza kunguru, kunguru

Kunguru, kunguru

Check Lyrics of latest songs here and Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT