SHARE

Umechelewa Lyrics by Mbosso 

SHARE

Read and sing aloud Umechelewa Lyrics by Mbosso. The song marks Mbosso's official return to his Bongo Flava roots .

READ ALSO: Mbosso surprises fans with a brand new single 'Umechelewa'

Umechelewa Lyrics By Mbosso:

Ulikuwa wapi wakati nalia lia na mapenzi 

Ulikuwa wapi wakati silali nakosa usingizi

Ulikuwa wapi wakati nashindwa kula chakula 

Ulikuwa wapi mbona umechelewa

Mbona umechelewa mbona umechelewa 

Mbona umechelewa mbona umechelewa

Nilipelekwa puta sikubembelezwa kupewa hadhi 

Nikala vya mafuta wakati mi hadhi yangu ya nazi 

Kumbe hata kitandani nilipaswa kupandishwa 

Hata kula mwiko yaani mi nilipaswa kulishwa 

Kwa urefu wa mkono gani mgongo kujisugulisha 

Mengine mapya ya chumbani oya we umenifundisha 

Mbona Mbona umechelewa Mbona umechelewa

Kijiti eeeh kijiti ooh kijiti 

Kakishikashika kimemchoma kijiti kimemtoboa 

Kijiti eeeh kijiti Kakishikashika kimemchoma kijiti 

Kama midomo chongeo kachongeni penseli 

Mambo ya kwenye video si tunayafanya kweli 

Kijiti eeeh kijiti 

Kakishikashika kimemchoma kijiti 

Unataka embe dodo ya nini urushe kote 

Tingisha mti kidogo chini utaziokota eeeh 

Kijiti eeeh kijiti 

Kakishikashika kimemchoma kijiti

Wa mdondo wa mdondo huyo kuku wa madoa 

Kamaliza mikorogo ngozi kujikoboa 

Kijiti eeeh kijiti 

Kakishikashika kimemchoma kijiti

Uuuh mwafulani mwisho wako barazani 

Mwafulani ushoga wa zamani kuyajua ya chumbani 

Kijiti eeeh kijiti 

Kakishikashika kimemchoma kijiti

Odo Odo wangu oooh Odo 

Nikidondoka unibebe Odo Odoo Odo 

Related

ADVERTISEMENT