SHARE

Kioo Lyrics By Anjella Ft Harmonize

SHARE

Enjoy Kioo Lyrics By Anjella Featuring Harmonize. The perfect duet comes a few months after the two labelmates dropped the fire collabo titled "Toroka"

Kioo Anjella ft Harmonize

READ ALSO : Enjoy The Lyrics To "You" By Harmonize

Read and enjoy Kioo Lyrics By Anjella Featuring Harmonize :

Bboy beats
Konde boy call me number one
Bakhresa aiiih
Angella aaaah

Na ikitokea umemuona mvute chini umwambie mwenzake me sijiwezi

Yeye ndio wakunifanya nikapona mwana wa mwenzie, haya maradhi ya mapenzi

Anaposhika akipaacha sipaoni sometimes I feel kaniita peponi

Akija pangoni ulimi sikioni

She turn me oooh on

Yalla yalla
Yakh habibi me napenda raha, huyu motto mashallah (mashallah)
Yalla yalla
Yakh habibi me napenda raha, huyu motto mashallah (mashallah)

CHORUS

Baby nataka kiwe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukicheka me nitacheka nawe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukinuna nitanuna nawe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukicheka me nitacheka nawe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukinuna nitanuna nawe

VERSE 2

Ah kwenye kivuli cha picha yangu nakuona wewe my boo yeah
You do me like I do (mmmmh)
Tuwapa maswali yasiyo na jibu tuwapunguze gubu
Tuzichore tattoo mmmh yeeeeiiih
Yani nimeoza kwako chaka chaka
Kipa magoli kwako nanyaka nyaka
Chochea kuni moto tayari nishawaka (mmmh yooo)
Ukizama unapagusa unapotaka
Swala la ufundi sina shaka
Ndani ya moyo nishakupa madaraka aaah
Only you baby mwengine sidhani
Nimekuweka ndotoni nimekuvika kidani cha mapenzi

Yalla yalla
Yakh habibi me napenda raha, huyu motto mashallah (mashallah)
Yalla yalla
Yakh habibi me napenda raha, huyu motto mashallah (mashallah

Baby nataka kiwe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukinuna nitanuna nawe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukicheka me nitacheka nawe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukinuna nitanuna nawe
Kioo kioo kioo kioo kioo kioo kioo
Ukicheka me nitacheka nawe

Only you baby mwengine sidhani

Nimekuweka ndotoni nimekuvika kidani cha mapenzi

Related

ADVERTISEMENT