SHARE

Hongera Lyrics by Rayvanny

SHARE

Read and sing aloud Hongera Lyrics by Rayvanny. The song has been well-received in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Read Yaya Lyrics By Rayvanny Ft Diamond Platnumz & Jux

Read and sing aloud Hongera Lyrics by Rayvanny below:

Hongera unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama leo 

Hongera unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama leo 

Furaha pande zote 

Sio kwa babu bibi baba mama

Imekuja baraka kwenu 

Kwa kuwa umemleta mwana 

Teamo tato wewe na yeye mnaendana

Mpate katoto halfcast 

Kikawaite baba na mama 

Nikiona tumbo lako tabasamu lako 

Kweli kitanda hakiongepei 

Nasubiri siku yako uzae baby wako 

Zawadi kemkem tupokee 

Uzuri wa sura yako na mtoto wako 

Kweli damu haiongopei 

Nikiona pua yako mdomo pua yako 

Hakuna haja ya DNA

Hongera unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama leo 

Hongera unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama leo 

Mbona najua leba ni mateso 

Vumila uta-settle kuwa mama kitu special 

Mtoto taifa la kesho 

Kama alivyokupenda mama 

Na wewe mpende mwanao 

Mtaishi kama mko peponi 

Upendo wako ukiwa ngao 

Na mapenzi ya wazazi yadumu sana 

Ugomvi achana nao 

Mpendane toka moyoni 

Msiishie kwa mtandao 

Nasubiri siku yako uzae baby wako 

Zawadi kemkem tupokee 

Uzuri wa sura yako na mtoto wako 

Kweli damu haiongopei 

Nikiona pua yako mdomo pua yako 

Hakuna haja ya DNA

Hongera unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama leo 

Hongera unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama unaitwa mama 

Unaitwa mama leo 

Related

ADVERTISEMENT