SHARE

Read 'Hapa' Lyrics by Ibraah

SHARE

Read and sing aloud Hapa Lyrics by Ibraah. The song has been wel received by fans in Tanzania and East Africa.

READ ALSO: Konde Gang's Ibraah Teases A New Music Video | SEE DETAILS

Read Hapa Lyrics by Ibraah below:

Kama Haujaanza Mimi Nishaanza Kwenda

Kama Haunipendi Mimi Nishakupenda

(Aaah, Ooh Yeah)

Ah

Baby Baby

Sogea Karibu Nikunong’oneze Sweet

You Look So Fine Ungekuwa Nguo

Ningevaa Nipendeze Cute

Baby Iiiih Wewe Ndo Change Kidege

Umenikamata Sifurukuti

(Mmmh)

Baby Weeweee Eeh

Changu Chako Chako Changu

Umenibana Pete Tamu Yangu

Kwani Hujui Wewe Ndo Msiri Wangu

Unanitembeza Kwenye Tope Kwa Mguu

Aibu Baby

Hata Wakisema Waambie Wewe

Ndio Kiboko Ya Mimi

I Swear Unanikosha Bibie Mwenzako Nimekula Yamini

Me Napenda Ukisema

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Eti Unaenjoy Tam Tam

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Aah Baby

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Eti Ni Tam Tam Unaenjoy

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Haaapaaa

Kiburi Hakijengi Baby, Na Wala Mapenzi

Hayaendeshwi Kwa Hasira

Nitaenda Wapi Baby Kwako Mirembe Unanipa Tiba Tahira

Sijui Nikupendeje Maana Moyo Unaona Ushakupenda

Na Ushamaliza Wananiita Bwege Marafiki

Waadai Nakupenda Kupitiliza

Baby Eti Nakudekeza Sana

Nakuendekeza Saana Baby

Hata Ndugu Na Jamaa

Wanasema Umenipa Chaundani

Changu Chako Chako Changu

Umenibana Pete Tamu Yangu

Kwani Hujui Wewe Ndo Msiri Wangu

Unanitembeza Kwenye Tope Kwa Mguu

Aibu Baby

Hata Wakisema Waambie Wewe Ndio Kiboko Ya Mimi

I Swear Unanikosha Bibie Mwenzako Nimekula Yamini

Me Napenda Ukisema

Eeh

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Eti Unaenjoy Tam Tam

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Aah Baby

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Eti Ni Tam Tam Unaenjoy

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Me Napenda Ukisema

Eeh

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Eti Unaenjoy Tam Tam

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Aah Baby

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Eti Ni Tam Tam Unaenjoy

Nikushike Hapa Hapa, Hapa Na Hapa

Related

ADVERTISEMENT