SHARE

Freestyle Session 6 Lyrics by Young Lunya

SHARE

Young Lunya Lyrics

Read Freestyle Session 6 Lyrics by Young Lunya. The rap song has been well received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read 'Freestyle Session 5' Lyrics By Young Lunya

Read Freestyle Session 6 Lyrics by Young Lunya below:

Picha limeanza nimepigika sina mkwanja

Navuta picha nawaza nakunja ndita nakaza 

Picha limeanza nimepigika sina mkwanja

Navuta picha nawaza nakunja ndita nakaza 

Picha limeanza nimepigika sina mkwanja

Navuta picha nawaza nakunja ndita nakaza 

Picha limeanza nimepigika sina mkwanja

Navuta picha nawaza nakunja ndita nakaza 

So you can picture me rolling 

You can picture me balling 

Kilichoml ndani yangu sio mimi 

Simanzi you can picture me stunning 

Blazing smoking majani 

Kinachoponya Imani sio dini

I'm killing everything kinachoweza kupumua 

Haijalishi kama haunijui au unanijua 

Mchanga wa beach hauwezi ukanitishia kitumbua

Naombewa sana noma lakini bado nakisanua 

Lakini bado naomba dua 

Bado haijawa sure baadhi mpaka hii leo zinanishushua 

Bado nina mizigo sijaitua 

Bado sijawa mropokaji bado mkaksi bado nauchubua 

Na sio kama sideti sijaona wakumu-expose 

Kesi zikiletwa zinafutwa case closed 

Zikialikwa geto za kuvunjwa ofcoz 

Rada safi navizia watoto wa Nairobi 

It's freezing on my chest mi sio mtu wa mikachakacha 

Fuck these rap battles mi nachania hata chakacha 

Clean utazania member wa wakacha 

Tamba nikiwa sipo tamba ila watambie fasta fasta 

Check Lyrics of latest songs here and Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT