SHARE

Read 'Freestyle Session 5' Lyrics By Young Lunya

SHARE

Read And Enjoy 'Freestyle Session 5' Lyrics By Young Lunya. The song has been well-received by fans in Tanzania.

READ ALSO: Young Lunya Confirms Collaboration With Diamond Platnumz | SEE DETAILS

Read 'Freestyle Session 5' Lyrics By Young Lunya Below:

Tamba pande zako pande zetu hautambi 

Kama ulikuwa ujui ichi kichwa kina madini mgodi hauwezi tosha 

Na hii nafasi awaipati ndo kwanza nawanyoosha 

Leta uduwanzi tukuletee posa 

Na bars zinakuja na upako kama ni za mwamposa 

Yes nakuacha uninyenyekee unafaa uwe muumini wa kanisa 

Unaona hizi lines hazipindi pindi nazipanga na zinapangika 

Bobo kapiga mdundo kafanya uwapate wachawa wakutingisha kichwa 

Uwezi kuwa mwamba na hit ni moja za kwangu zipo kama tisa

Baada ya hii nadondoka tena nakwenda  tyu kuchora tatoo

Wanajifanya wanamoyo safi bado awajakutana na babuu

Itawafanya wafumbe midomo utadhani wateja wa tamu

Nani hajui kuwa styles za kwao ni fambuu za kwangu ni chambuu 

Flow ni nyingi sanaa rasta utakaa sana 

Muonekano huna mi mwenzako nimeka star 

Flow zao za siku nyingi yani zimechacha 

Acha michezo  na mi mwenzako kama kitu kichwani akijakaa sawa 

Ifike time dunia ijue kweli hamnipendi kipindi 

Na hilo kwangu hata sio tatizo kwa sababu napendwa na wengi 

Njaa ni mbaya na iyo sasa ni moja ya kitu ambayo sipendi 

Smart sanaa mpaka nikivua nguo napiga mahesabu kishenzi 

Pesa inafanya watoto wadogo ukiwatuma dukani awarudishi chenji

Siwezi kusahau kipindi mfukoni patupu nakosa hata ten ge

Wewe na shobo  alafu shobo na wewe sishangai unavopenda kutrend 

Wale wanangu wa bobo mmoja siwezi  kuitambia omg full stop!

Kwenye hustle pain ipo right?

Wote rappers but we are not equal why 

Stimu mpya same kiko

Pisi nazo zipo nyingi natembeza spakoz

Rap ya bongo na wala sio ya mwenye mdomo 

Hata panchi zangu za kuziofia huwa napiga kwenye mshono 

Pia watu wenu wanao wasifia kweli nawafumba midomo

Level za kwangu nacheza na kobe zakwenu nyie ni za konokono  

Alafu sasa nachonga na njia ili rappers wengine wawahi masomo 

Wanaweza vipi kuzisilizia wakati umefika kikomo 

kama biashara yenyewe ya ungaunga promoter hausiki na promo 

Watoto wazuri wote ni malaika kamuulize Reekado Momo 

We mtata au vipi unawatisha sasa mbona ata autishi 

ungekuwa uzazi wa mpango unekuwa huexit 

Sio mbaya unaweza kujiimbia cauz hausikiki

Stupid 

Ulidhania barau uliotuma ntajibu 

Hapa ungejua wewe fungu la kukosa na huoni aibu 

Chagua moja ukae mbali sanaa ukae karibu 

Ili hutoke inabidi niwepo nafkiri ushapata majibu 

Kuna nyie wote inabidi mnisikilize kwa ukaribu  

Ukikaa vibaya mi nakutumbua silei majipu 

Ubusy unanifanya nikitumbua macho silali usiku 

Sie wengine wasikilizaji redio za kina Chibu 

Oooooh! 

Utanda wazi ndo unafanya tunaishi kwa drama

Sifa nyingi mtandaoni na anaishi kwa mama 

Ndo basi ushakwama 

Bando la simu ni kama bure mtaendelea kunitukana 

Haunivishi aunitishi uogopeshi mwana 

We unatubu si tunacheza na cash brother 

We unaiita michano ila hii apa ni next level 

Kabla sijaingia kwenye industry nilisoma mchezo

Naendelea kufanya bomba cauz am so special

Special kwa kizazi hiki na hata kizazi boombak 

Wasshtue na wenzio mje kujifunza kumbafu 

Watajitaidi ila awaachia boombafu kama mimi 

Nafocus nakibunda  

Related

ADVERTISEMENT