Mombasa Lyrics by Marioo

Marioo Lyrics
Mombasa by Marioo is an emotional Bongo Flava track about heartbreak, loneliness, and the search for genuine love, as the lyrics follow someone tired of being hurt and unappreciated in relationships. Mombasa blends themes of emotional pain and longing with hope for a fresh start, as he considers leaving his current environment to find peace and true affection elsewhere.

Marioo - Mombasa Lyrics
Intro
Mombasa aaahh
Mombasa aaahh
001 uh yeah yeah
Mombasa aaahh
Kanibari kutoka
Mombasa aaahh
Verse 1
Mtu nampenzi, lakini sidekezwi
Mi mpenzi mtazamaji
Mtu na kwetu, ntakuwa fala
Kama samaki akifa kwenye maji
Acha nionekane sijiwezi
Siri ya mtungi naijuwa kata
Ni mara ngapi nimeumizwa nikalia, ah
Uliza ili jicho
Pre Chorus
Hawa watu hawa
Hivi kwali ni watu wa mingu hawa?
Mbona hawana huruma hawa?
Dar es Salaama mtanitoa roho yangu
Me siwezi kuishi bila kupendwa
Chorus
Bora niende, Mombasa aaahh
Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh
Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh
Abdullswamad nateseka mimi, Mombasa aaahh
Verse 2
Nipate mtoto wa mtu nimpende
Nimpende salamu zifike bongo
Dhahabu chini ya mtende
Na mi nitulize ubongo
Nachoka mimi nachoka
Kulia lia kama mutoto
Basi nijipate nitulie
Ushanitosha msoto
Pre Chorus
Hawa watu hawa
Hivi kwali ni watu wa mingu hawa?
Mbona hawana huruma hawa?
Dar es Salaama mtanitoa roho yangu
Me siwezi kuishi bila kupendwa
Chorus
Bora niende, Mombasa aaahh
Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh
Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh
Abdullswamad nateseka mimi, Mombasa aaahh
Check Lyrics of latest songs here, and get fresh updates as they drop via X and Facebook




