SHARE

Yalaiti Lyrics by Alikiba Feat. Sabah Salum

SHARE

Alikiba and Sabah Salum Lyrics

Check out the official lyrics for Alikiba's newest single, Yalaiti, featuring Sabah Salum.

Cover Art for Yalaiti by Alikiba and Sabah Salum
Yalaiti Cover Art

Alikiba & Sabah Salum - Yalaiti Lyrics

Yeaaap

Naona raha, kukuona aah nafsi yangu inafurahika
Majeraha nimeshapona aah hivi sasa moyo wangu
Umehimarika aah maana umenituliza hayuni iii
Kwa raha zako na sazaa, Sijui niseme nini iii
Napewa vya kila Ladha, Oooh nikeshe na wewe
Tukiambizana, nikeshe na wewe tukiliwazana
Nikeshe na wewe Tukiambizana nikeshe na wewe
Tukiliwazana

Yalaiti “yooh”yalaiti yalaitii yalaiti “yalaiti Ningejua mapema”
Yalaiti “Aaah”yalaiti yalaitii yalaiti “yalaiti Ningejua mapema”
Aaah Ooah aaah aaaaaih yalaaiti yalaa aaah

Siri yangu yako wewe, Siri yako yangu mimi
Mwili wangu wako wewe, mwili wako wangu mimi
Amina Rabbi amina mimi kwako hali sina umenizidi
Hekima mi nasitirika, nikeshe na wewe
Tukiambizana, nikeshe na wewe tukiliwazana
Nikeshe na wewe Tukiambizana nikeshe na wewe
Tukiliwazana

Yalaiti “Oooh”yalaiti yalaitii “yalaiti Ningejua mapema”
Yalaiti “Oooh aah”yalaiti yalaiti mmh yalaiti “yalaiti Ningejua mapema”

Amina Rabbi amina mimi kwako hali sina umenizidi
Hekima mi nasitirika,
Oooah amina Rabbi amina mimi kwako Siri sina umenizidi
Hekima mi nasitirika aa

Discover Latest Song Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT