SHARE

X Lyrics by Harmonize

SHARE

Harmonize Lyrics

Get ready to groove and sing along to Harmonize's latest song, titled X, read the song's lyrics below.

Cover art for X by Harmonize
X Cover Art

Harmonize - X Lyrics

Kondeboy, call me “Number one”

Nani kasema. X wangu ana enjoy
Nani kasema anapata raha
Ivi nani kasema X wangu ana enjoy
Nani kasema anapata raha

Nikimuona analewa namuelewaa
Anajiona kachelewa age go
Na bado hajapewa viuno alivyopewa
Anajiona kachelewa age go

Nani kasema ex wangu anaenjoy
Nani kasema anapata raha
Ivi nani kasema ex wangu ana enjoy
Nani kasema anapata raha
Never

Vanamahako twende kwalidu kula
Nikatamwa nguyopa chalidu chila
Vanamahako twende kwalidu kula
Nikatamwa nguyopa chalidu chila

Vanamahako twende kwalidu kula
Nikatamwa nguyopa chalidu chila
Vanamahako twende kwalidu kula

Ibiza Miami mbali
Hajapelekwa hata Zanzibari
Hapo kizimkazi aka enjoy
Low-budget Dubai hatoboi

Anasikitisha x
Kama embe la mti wa porini
Anajipitisha X
Amekosa wa kumuweka mjini

Nikimuona analewa namuelewaa
Anajiona kachelewa age go
Na bado hajapewa viuno alivyopewa
Anajiona kachelewa age go

Nani kasema ex wangu anaenjoy
Nani kasema anapata raha
Ivi nani kasema ex wangu ana enjoy
Nani kasema anapata raha
Never

Vanamahako twende kwalidu kula
Nikatamwa nguyopa chalidu chila
Vanamahako twende kwalidu kula
Nikatamwa nguyopa chalidu chila

Vanamahako twende kwalidu kula
Nikatamwa nguyopa chalidu chila
Vanamahako twende kwalidu kula

It’s Kondeboy. Call me “Number one”
Bakhresa
Konde music worldwide
Eh
Sikumpenda tu nilimtukuza
Nikala bata bila kumchunguza babe
Mambo madogo akayakuza
Eti kisa upendo akaniburuza

Check out more song lyrics here and follow us on and Facebook

Related

ADVERTISEMENT