SHARE

Pawa Lyrics by Mbosso

SHARE

Mbosso Lyrics

Pawa by Mbosso is an emotional Bongo Flava track about deep love, devotion, and being overwhelmed by strong feelings, as the lyrics focus on a man who is completely consumed by his partner’s affection. The song centers on how powerful and “heavy” her love feels (“naishiwa pawa” losing strength), emphasizing that he can’t resist or live without it, while using metaphors like love as an intoxicating drink to highlight obsession, emotional surrender, and the intensity of his romantic attachment.

Cover art for Room Number 3 EP by Mbosso
Room Number 3 EP Cover Art

Mbosso - Pawa Lyrics

Intro
S2Kizzy, Baby

Verse 1
Kamusi namaliza kurasa kukusifia
Matusi naiona BASATA wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia, ah
Mjusi ukuta wa plasta na uparamia

Pre-Chorus
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear

Chorus
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa

Verse 2
Nilifeli secondary kwendaga chuo
Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
Yeremia mstari nifunue Ufunuo, oh
Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo

Bridge
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear

Post-Chorus
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa

Outro
Ka Mix Lizer

Check Lyrics of latest songs here, and get fresh updates as they drop via X and Facebook

Related

ADVERTISEMENT