SHARE

Read 'Wa Sasa' Lyrics by Kusah

SHARE

Read and enjoy Wa Sasa lyrics by Kusah. The song has been well received in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Kusah pays homage to Bongo Flava in his new single 'Wa Sasa'

Read Wa Sasa Lyrics by Kusah below:

Uwoooh Uwoooh 

Its Cukie Dady 

Oooh my weee nataka nikupe 

Penzi ulishike lote 

Ulishike kwa mikono 

Kwa mikono mwenyewe 

Na hata ukiwa mbali weeee 

Jifanye bado kama tuko wote 

Mamaaaa fumba macho unione 

Unione mwenyewe 

Kweli mabaya yapo 

Ila mazuri yapo 

Tujishikilie usije ukaniacha 

Utafanya nilie 

Kweli wabaya wapo 

Ila wazuri wapo 

Inabidi uangalie usiwatamanie 

Utafanya nilie 

Huyu wa sasa nahisi nimefika 

Sitaki hata kupepesa macho 

Sioni kando 

Huyu wa sasa nahisi nimefika 

Sitaki hata kupepesa macho 

Sioni kando 

Mwenzako penzi lako burudani

Jamani huku hoi taabani 

Mwenzio sikio halisikii tena 

We jione mwamba 

Ringa vimba dunda

Ujue nakupenda Aaaah 

Mwenzio nakupenda Aaaah 

Nami natamba Insta Tiktok 

Naringa mwenzio nakupenda Aaaah 

Wajue nakupenda Aaaaah 

Kweli mabaya yapo 

Ila mazuri yapo 

Tujishikilie usije ukaniacha 

Utafanya nilie 

Kweli wabaya wapo 

Ila wazuri wapo 

Inabidi uangalie usiwatamanie 

Utafanya nilie 

Huyu wa sasa nahisi nimefika 

Sitaki hata kupepesa macho 

Sioni kando 

Huyu wa sasa nahisi nimefika 

Sitaki hata kupepesa macho 

Sioni kando 

Related

ADVERTISEMENT