SHARE

Utanikumbuka Lyrics By Harmonize

SHARE

Natamani kuimba pengine ukasikia
Maneno yangu ya mwisho
Ila sauti ndo inagoma yan kama inakwaruza
Ukinitazama macho nimevimba
Nimekesha nalia
Na sijui lini mwisho mwili wa joto na homa
Yani mpka naunguza
Mapenzi hayana dhiaki
Mwenzko nishawaza nifaraki
Ama niende kotini nikashitaki

Kwamba unadhurumu furaha yangu
Mdomoni unamaji we samaki
Asa mbona ata kusema hutaki
Ama ndo nataka sitaki
Ina maana huzioni jitihada zangu
Pengine donda nilokupa limefuta upendo
Unajaribi kujilazimisha
Mengine unafanya kuniridhisha
Mwilii umekonda umebaki mifupa
Kulilia upendo basi moyo rudisha
Kama umenisamehe na yameisha
Kinyonge najiuliza bila majibu
Wapi ninapoharibu

Kina nachojaribu hakikupendezi
Utanikumbuka mpenzi uta
Utanikumbuka mpenzi utaa
Utanikumbuka mpenzi utaa
Mana wapo watakao kukosea
Na wasikili kosa (utanikumbuka mpenzi uta)
Umri wetu tunawaza kukuchezea hakuna wakukukosa eeh
Inaboa mapenzi yakishaisha
Licha yakujitoa mwenzangu kumridhisha
Eti mara yupo busy yupo busy
Alipo hataki nimuulize
Anajua lazima iniumize
Imeandikwa samehe na husilipize
Wenda ata msamehe ulonipa ni kazi bure
Kama umeshindwa nifanya nijione kama yule
Wako wa zamani
I swear to ma body husimuamin rafiki anaekulipia kodi
Pengine anafurah we kumpigia hodi
Hawezi support kukuona airport kila siku
Najiuliza bila majibu wapi napoaribu

Kila nacho jaribu hakikupendezi
Utanikumbuka mpenzi uta
Utanikumbuka mpenzi utaa
Utanikumbuka mpenzi utaa
Mana wapo watakao kukosea
Na wasikili kosa (utanikumbuka mpenzi uta)
Umri wetu tunawaza kukuchezea hakuna wakukuposa eeh

Related

ADVERTISEMENT