SHARE

Read Ukinichiti Lyrics By Mac Voice

SHARE

Read And Enjoy Ukinichiti Lyrics By Mac Voice. The song from the Next Level Music Signee has been well by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: "I'm Ready To Join WCB Wasafi" Mac Voice Confirms | SEE DETAILS

Read And Enjoy Ukinichiti Lyrics By Mac Voice:

Aliekuumiza mtafutie mwenziee

Ili ukimpost akimuona aumie

Tena mkiachana chunga usimrudi

Post nyumba pesa gari ili ajutie

Ndo mama mimi simuwazi

Akichelewa kurudi naacha mlango wazi

Tena namwambia aogope maradhi

Akumbuke kinga asiende waziwazi

Nishaumizwa nishateswa na mapenzi

Nusu nitoke uhai uhai uhai

Nishaenyeka sana

Mi natoa mapesa wao wana furahi furahi furahiii

Ukinichiti nakuchiti

Ukiniacha nakuacha

Kwani yani shingapi

Ya nini tuumizane roho

Ukinichiti nakuchiti

Ukiniacha nakuacha

Kwani yani shingapi

Ya nini tuumizane roho

Shii shi shishi

Shishi shishi

Mh shishi shishi shishi

Shii shi shishi

Shishi shishi

Mh shishi shishi shishi

Kidole changu kimoja hakivunji chawa

Kama ukipenda boga penda na ua sawa

Ata ukiniroga husizidishe dawa

Nipe chuzi kunoga nijitanue mabawa

Haya mapenzii hayanaga fundi Ouuh

Haya mapenzi yalikuwepo toka enzi uuh

Acha nilewe eeh acha nipombeke

Aah stress zanini eeh pembeni nijiwekee

Acha nilewe acha nipombeke eeh

Stress za nini eeh pembeni nijiwekee

Nishaumizwa nishateswa na mapenzi

Nusu nitoke uhai uhai uhai

Nishaenyeka sana

Mi natoa mapesa wao wana furahi furahi furahiii

Ukinichiti nakuchiti

Ukiniacha nakuacha

Kwani yani shingapi

Ya nini tuumizane roho

Ukinichiti nakuchiti

Ukiniacha nakuacha

Kwani yani shingapi

Ya nini tuumizane roho

Shii shi shishi

Shishi shishi

Mh shishi shishi shishi

Shii shi shishi

Shishi shishi

Mh shishi shishi shishi

Ukinichiti nakuchiti

Ukiniacha nakuacha

Kwani yani shingapi

Ya nini tuumizane roho

Ukinichiti nakuchiti

Ukiniacha nakuacha

Kwani yani shingapi

Ya nini tuumizane roho

Related

ADVERTISEMENT