SHARE

Read Tulia (Bebi Shak) Lyrics by Willy Paul

SHARE

Read Tulia (Bebi Shak) Lyrics by Willy Paul. The song has been well-received in Kenya and East Africa in general.

READ ALSO: Read Popo Lyrics By Willy Paul Ft Miss P

Read Tulia (Bebi Shak) Lyrics by Willy Paul below:

Pozzee!

(Saldido)

Unanifanya najihisi mtoto

Bebi shak doo doo doo

Bebi shak doo doo

Anything you want I go do do

Baby I go do do

Baby I go do do

Bila we silali

Hata kwa piriton

Moyo wangu chali

Nibebe nibebe

Na nisipokuona baby

Sipati amani

Nisipokuona sweety

Usingizi sipati

Kwako nimeshatulia, lia tulia

Ukiniguza kidogo nalala, lala lala

Ukiniwacha baby nitalia, lia, lia

So baby nishakupenda sana, sana, sana

Na nikucheat, nitakuwa mnafiki

Hio tabia ya ibilisi

Nitakuwa napretend

Haina maana niende kwingine

Wakati wewe wanitosheleza

Haina maana niende kwingine

Wakati wewe unanibembeleza

Jameni umeniweza mpenzi

Kila mara nakuwaza

Jamani umeniroga mpenzi we

Mia kwa mia nakupenda

Unanifanya najihisi mtoto

Bebi shak doo doo doo

Bebi shak doo doo

Anything you want I go do do

Baby I go do do

Baby I go do do

Bila we silali

Hata kwa piriton

Moyo wangu chali

Nibebe nibebe

Kwako nimeshatulia, lia tulia

Ukiniguza kidogo nalala, lala lala

Ukiniwacha baby nitalia, lia, lia

So baby nishakupenda sana, sana, sana

Related

ADVERTISEMENT