SHARE

Read Sitaki Lyrics By Mbosso

SHARE

Read Sitaki Lyrics By Mbosso. The song sees Mbosso marinating Amapiano and Baibuda to create a masterpiece.

READ ALSO: Mbosso Is Returning To The Music Scene With 'Sitaki'

Read Sitaki Lyrics By Mbosso Below:

INTRO 

Mimi wewe mimi ntakufa na wewe

Mimi wewe mimi ntakufa na wewe

VERSE 1 

Ni baraka za mungu na malaika

Zimefanya mi nawe tujuane

Sinashaka maana imeandikwa

Ndege warukao wafanane

Sisikii la muadhini wala la mnadi swala

Tumelishana ya mini kwa dua sio kafara

Sio wanyuzi tisini wala buku shing’dala

Mambo ya kuzini zini tuwe halali twahara

BRIDGE

Kama mapenzi ugonjwa wa macho mi kabisa kengeza

Na kama changuoni ndo kikulacho mi huyu kanimeza

CHORUS 

Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe

Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe

VERSE 2 

Ngamia wangu anifaae jangwani

Nimemuombea dua tusiishie njiani

Ngamia wangu anifaae jangwani

Nimemuombea dua tusiishie njiani

Ooh usingizi wangu zeze la kitandani

Nimemuombea dua tusiishie njiani

Ngamia wangu anifaae jangwani

Nimemuombea dua tusiishie njiani

BRIDGE 

Kama mapenzi ugonjwa wa macho mi kabisa kengeza

Na kama changuoni ndo kikulacho mi kwangu kanimeza

CHORUS 

Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe

Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe

OUTRO 

Aiih makopa kanimwagia makopa jama

Aiih makopa kanimwagia makopa jama

Ma ma ma ma kanimwagia makopa jama

Aiih makopa kanimwagia makopa jama

Mwa mwa mwa kanimwagia makopa jama

Aiih makopa kanimwagia makopa jama

Related

ADVERTISEMENT