SHARE

Read Shika Lyrics by Zuchu

SHARE

Read and sing aloud Shika Lyrics by Zuchu. The song has been well received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: Read Chapati Lyrics by Zuchu

Read Shika Lyrics by Zuchu below:

Nani tron aaah tron (eyo tron) liiiih aaaaaah 

(iih iiih iih aaaaah) liiiih aaaaaah (iih iiih iih aaaaah) 

(Et Nani kakojoa shuka imetota aah imetota shuka imetota)

 Leo nsingebaki ndani ata inyeshe mvua (inyeshe mvua)

 Sina sent kumi yani ntadandia washua (aah washua)

Kwani dj ni nani mbona anajua (anajuaaa) 

Kibeg nishikieni nataka kuuwa (basi uaa) 

Eh shika shika shika shika Eh shika shika shika shika …

Mmmh Police kamata wizi wanawaibia watu 

Police kamata wizi wanawaibia watu

 Muongeze ulinzi tule bata mpaka jumatatu 

Mtuache na walevi twalewa kwa hela zetu

 Shika shika shika (twalewa kwa hela zetu) 

Shika shika shika (twalewa kwa hela zetu)

Related

ADVERTISEMENT