SHARE

Na Nusu Lyrics by Harmonize

SHARE

Read and sing aloud Na Nusu Lyrics by Harmonize. The song marks another time Harmonize has scored a hit in East Africa.

READ ALSO: Hongera Lyrics by Rayvanny

Read and sing aloud Na Nusu Lyrics by Harmonize below:

Mwanamke ni mtu na nusu 

Kukatishwa tamaa usiruhusu 

Mwanamke ni mtu na nusu 

Kurudishwa nyuma usiruhusu 

Na kama mwanaume ndo kichwa cha familia 

Basi mwanamke ndo shingo na kiwiliwili 

Amani ya mume aliye bora inatengenezwa na mke anapoianza siku

Hata furaha ya mume aliye bora inakamilishwa na mke ifikapo usiku 

Yeeeh si ujinga kukubali matokeo oooh 

Na sio suala la kupinga wanatuzidi upeo oooh 

Ingekuwa hiari yangu mimi ningewapa kila cheo ooooh 

Muaadilifu kama mama yangu sijamuona mpaka leo oooh 

Samia Suluhu ni mtu na nusu 

Mboni Mpaye mpango ni mtu na nusu 

Mariam Mwinyi ni mtu na nusu 

Mary Majaliwa ni mtu na nusu 

Dkt Tulia ni mtu na nusu 

Anna Makinda ni mtu na nusu 

Bibi Titi ni mtu na nusu 

Sophia Kawawa ni mtu na nusu 

Pata kucha litazama na lifike kiama 

Hutomwona kama mama mama 

Mwanamke ni kiumbe jasiri 

Ile miezi sita ni siri 

Baba asingeweza hata miwili 

Hata uwe tajiri tajiri kamwe huwezi kuwa na mama wawili wawili 

Mume ataoa wawili 

Mwanamke hawezi kuwa na wawili fikiri 

Si ujinga kukubali matokeo oooh 

Na sio suala la kupinga wanatuzidi upeo oooh 

Ingekuwa hiari yangu mimi ningewapa kila cheo ooooh 

Muaadilifu kama mama Konde sijamuona mpaka leo oooh 

Maria Nyerere ni mtu na nusu 

Bi Fatuma Karume ni mtu na nusu 

Sitti Mwinyi ni mtu na nusu 

Mama Anna Mkapa ni mtu na nusu 

Salma Kikwete ni mtu na nusu 

Janeth Magufuli ni mtu na nusu 

Getrude Mongela ni mtu na nusu 

Bi Mwenda ni mtu na nusu 

Bi Kidude ni mtu na nusu 

Mama Khadija Kopa ni mtu na nusu 

Related

ADVERTISEMENT