SHARE

Mchuchu Lyrics by Mocco Genius Ft Ali Kiba

SHARE

Read and sing aloud Mchuchu Lyrics by Mocco Genius Featuring t Ali Kiba. This is the second collaboration between the two Tanzanian heavyweights.

READ ALSO: Mi Nawe Lyrics Lyrics by Mocco Genius Ft Marioo

Read and sing aloud Mchuchu Lyrics by Mocco Genius Featuring t Ali Kiba below:

Mimi nimekuona wewe 

Katika mamia ya wengine 

Mi wa kwako wewe 

Hakika sina mwingine 

Wa maisha yangu wa maisha yangu 

Wa maisha yangu wa maisha yangu 

Ona hata mama aliniambia kila kitu 

Changu cha kwako wewe cha kwako 

Nakupa mchuchu moyo wangu wote 

Nakupa mchuchu moyo wangu wote

Nakupa mchuchu moyo wangu wote

Nakupa mchuchu moyo wangu wote

Mbusu tu nazima 

Mahaba yako mazito ukiyapima 

Uwezo sina ningekuhonga madinar

Na kwa hii dunia iitwe kwa lako jina 

Ooh nilikwambiaga ulinipende mimi tu 

Mapenzi ya kumwaga oooh 

Wa maisha yangu wa maisha yangu 

Wa maisha yangu wa maisha yangu 

Ona hata mama aliniambia kila kitu changu

Cha kwako wewe cha kwako 

Nakupa mchuchu moyo wangu wote 

Nakupa mchuchu moyo wangu wote

Nakupa mchuchu moyo wangu wote

Nakupa mchuchu moyo wangu wote

Related

ADVERTISEMENT