SHARE

'Wasiwasi' Lyrics By Kusah

SHARE

Read Wasiwasi Lyrics By Kusah. The song is Kusah's first release in 2023 and it is expected to make waves in East Africa.

READ ALSO: Read Karibu Lyrics By Kusah

Wasiwasi Lyrics

Baby doli samwela 

Ooh baby penzi kombolela 

Baby tusije kumbwela 

Ooh baby wakabutua pila 

Honey sisi binadamu 

hatukakamilika 

Ukimicheat mara moja sawa 

Ila ficha 

Yani dunia ina mengi 

Usije lewa sifa 

Ukikosea mara moja 

tafadhali shuka 

Bridge

Haya puliza kama inauma 

Na ukiwashwa na kukuna 

Nina moyo wa nyama sina chuma 

Ukikosea itaniuma 

Chorus

Nina wasi wasi, ni wasi wasi 

Penzi wasi wasi 

Nina wasi wasi, ni wasi wasi 

Penzi wasi wasi 

Verse 2 

Eti si unanipenda wee 

Ulisema hata nyumba si tutajenga wee 

Etiii si upo kando wee

Ulisema nikiwa sina nitabaki na wewe 

Ningeweza kujigawa 

Ningejichana ningejigawa 

Nikupe hata kipande 

Nikiwa mbali ibaki dawa 

Honey sisi binadamu 

hatukakamilika 

Ukimicheat mara moja sawa 

Ila ficha 

Yani dunia ina mengi 

Usije lewa sifa 

Ukikosea mara moja 

tafadhali shuka 

Bridge

Haya puliza kama inauma 

Na ukiwashwa na kukuna 

Nina moyo wa nyama sina chuma 

Ukikosea itaniuma 

Chorus 

Nina wasi wasi, ni wasi wasi 

Penzi wasi wasi 

Nina wasi wasi, ni wasi wasi 

Penzi wasi wasi

Read the Other Latest East African Song Lyrics HereGet Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

Related

ADVERTISEMENT