SHARE

Read Washa Lyrics By Abdu Kiba Featuring K2ga

SHARE

Read and enjoy Washa Lyrics By Abdu Kiba Featuring K2ga. The song is produced by Tanzanian one and only Mocco Genius.

Washa Lyrics By Abdu Kiba Ft K2ga

READ ALSO: Abdukiba Ft. Christian Bella – Nalingi Ye

Read and enjoy Washa Lyrics By Abdu Kiba Featuring K2ga Below :

Ka shorii kako pindo yeah unajua kwake mi ndo yeee

Hodari wa mitindo yeah hanaga maringo yeah kokote nitakwenda naye

Acapella nitaimba naehawataki mwenye mwampendaye mi ndo baba na yeye ndo mama yeah

Hata nikimkosa kidogo nikiwa,bali naye kidogo

Kama pochi mi ndo bank anaye ntang'ang'ana kama ruba naye

Mi dereva kama utingo nae wanasema siachani nae

Kama pochi mi ndo bank anaye ntang'ang'ana kama ruba naye

Mi dereva kama utingo nae wanasema siachani nae

Baby umeniwasha washaaa mi nasema umeniwasha washaa

Baby umeniwasha washaaa mi nasema umeniwasha washaa

Mwenzako moyo ushaukamata herufi zote A mpaka Be

Nateleza kkwako pruu mpaka maka na hizk vocal zako Yemi Alade

Kiporo usikifanye kikachacha kasoro nami sijakamilika

Nipo Lindo nakesha sina hata presha Dua na Sala kuomba Mungu apokee

Wala ssina mashaka Mola akitaka wasiotupenda waache waone donge

Kama pochi mi ndo bega anaye ntang'ang'ana kama ruba naye

Mi dereva kama utingo nae wanasema siachani nae

Na kama pochi mi ndo bega anaye ntang'ang'ana kama ruba naye

Mi dereva kama utingo nae wanasema siachani nae

Baby umeniwasha washaaa mi nasema umeniwasha washaa

Baby umeniwasha washaaa mi nasema umeniwasha washaa

Related

ADVERTISEMENT