SHARE

Read Siwezi Lyrics By Marioo

SHARE

Read Siwezi Lyrics By Marioo. The song has been well-received by fans in Tanzania and East Africa in general.

READ ALSO: "The Kid You Know" Album By Marioo Is Finally Here | LISTEN

Read Siwezi Lyrics By Marioo Below:

VERSE 1

I know that you deserve some more

Anything that you are baby you should let me know

You know that ukinitenda utaniumiza roho

Maana si unajua we ndo kipenda roho

Kuwe kuna mvua jua we baki hapa kando yangu

Iwe shibe njaa basi nile nawe kama kuna huzuni karaha

We ndo faraja yangu siku za furaha naenjoy nawe

BRIDGE

Why why why nikulize Why why why nikulize

Why why why nikulize Why why why nikulize

CHORUS

Siwezi kukuacha wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe

Siwazi kuachana wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe

VERSE 2

Umenifanya niwaze ningewezaje dunia bila uwepo wako aah

Umenifanya nijiulize je ningeenjoy hii dunia nisingekuwa wako

You're the one i have bbeen waiting for asali yaa moyo wangu

Faraja yangu iliyomo ndani yangu kwenye ini yako

BRIDGE

Why why why nikulize Why why why nikulize

Why why why nikulize Why why why nikulize

CHORUS

Siwezi kukuacha wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe

Siwazi kuachana wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe

Related

ADVERTISEMENT