SHARE

Read Sio Kwa Ubaya Lyrics By Mwana FA Featuring Harmonize

SHARE

Read Sio Kwa Ubaya Lyrics By Mwana FA Featuring Harmonize. The song has been well-received by fans in Tanzania and beyond.

READ ALSO: Read Mozzah Lyrics By Aslay

Read Sio Kwa Ubaya Lyrics By Mwana FA Featuring Harmonize:

VERSE 1

Hela sio matamko kwamba kila mtu anazo Zilipo Mwanangu Usilete Mchezo

Kuwaza Hela Hakuna Kwenda Likizo

Hasa wenzangu na mimi ambao hatukuzaliwa nazo

Eti hazileti furaha ukiwa sikiliza shauri yako Sio swala la mjadala hii ndo iwe ramani yako Eeeh pambana ziwe zako

Pigana mwana mpaka wachange jina lako Tunawatolea sadaka, sadaka tunazopata Laana zinatuepuka dua mbaya zinaturuka

Hata ufahamu kwanini wananiita baba roho tisa kama za paka I'm ma brothers keeper

The white collar Don kama Paul Castellano wanatangulia kufunga ila sipotezi mapambano

Usiende mbali kumbuka kuna kurudi mayai yote kapu moja man karibu unabugi

BRIDGE

Moyo wa Champion sioni competition

Mitihani ya maisha hufaulu kwa kwenda tuition

AKA ya ulimwengu nnayekutia fimbo za ugoko ka hukufunzwa na mama ako shauri yako

CHORUS

Mi sina time ya kupoteza ngoma ya mtu siwezi cheza so usiponiona usiulize jua tu niko bize nazichanga si kwa ubaya

Mi sina time ya kupoteza ngoma ya mtu siwezi cheza so usiponiona usiulize jua tu niko bize nazichanga si kwa ubaya

VERSE 2

Ukiwa na siku ya kutafuta na ya kupata ipo ridhiki hatoi baba ako kwamba itakufuata ulipo

Nakutia moyo kukata tamaa mwiko sio lele mama ilibidi mnagombea fito Penda hela usiziabudu usivukwe na

Utu roho yako ya chuma usiache iwe kutu Sheria msumeno lakini haichani dhiki mawe yameiva na mkaa bado umebaki

Pesa hainunui furaha ufukara unanunua nini mi nakimbiza hela mademu mewaachia nyinyi

Hizi si habari za mjini ni habari zangu mimi maisha hayana subtitle sio lazima uniamini Pata hela maadui zako wanune

Usihofu life manigga mipunga ndo nguvu za kiume

Au uendelee kulala ka utakuwa ulichokiota asiye hustle na asile ukija kitaa utatukuta

BRIDGE

Moyo wa Champion sioni competition Mitihani ya maisha hufaulu kwa kwenda tuition

AKA ya ulimwengu nnayekutia fimbo za ugoko ka hukufunzwa na mama ako shauri yako

CHORUS

Mi sina time ya kupoteza ngoma ya mtu siwezi cheza so usiponiona usiulize jua tu niko bize nazichanga si kwa ubaya

VERSE 3

Mi sina time ya kupoteza ngoma ya mtu siwezi cheza so usiponiona usiulize jua tu niko bize nazichanga si kwa ubaya

Kwanza naisha mapema kama naishi Kigamboni dili isiyo na pesa Konde Boy humuoni

Gari imefuka moshi ka nimepaki jikoni na usipumuona Mudi Mnyama ipo kiunoni yeeeh

Related

ADVERTISEMENT