SHARE

Read On Fire (Nakukunda) Lyrics By Kusah

SHARE

Read, sing aloud and enjoy On Fire (Nakukunda) Lyrics By Kusah. The song is found in Kusah's recently released EP titled "Romantic"

Kusah

READ ALSO: Read Jimwage Lyrics By Kusah Ft Femi One

Read, sing aloud and enjoy On Fire (Nakukunda) Lyrics By Kusah:

VERSE 1

Kama ni ndumba baby umenifanya kama punda mzigo ninabeba na nadunda naenjoy

Walahy umenifunga mapigo ya moyo yananidunda kama ni sindano umenidunga mie hoii

Sanamu lako likajengwe posta niende kwenu nikatoe posa

Ama nifanye vitu wanione ndondocha ama ama nifanyeje

BRIDGE

Jamani penzi lake pombe me nimelewa nayumba nashindwa kujielewa

Kama unayajua haya utanielewa ila kama hujui ndo umechelewa

CHORUS

Aaaahuuuu nakukunda your love is on fire

Aaaaahuuu nakukunda your love is on fire

VERSE 2

Kati ya wote hao number moja me nakwambia umepita wote hao ooooh babe

Thamani yako weeh thamani yako zaidi ya rupia hawakuwezi hao Oooh darling

Labda nikuambie kwamba me nyoka umenivua gamba

Kwako naanzaje kutamba sasa naanzaje baby

Na vyenye unanivuta nafsi inanisuta me unanikoshaga na kule unanivusha nimeweka nukta mie nimefikaga

Sanamu lako likajengwe posta niende kwenu nikatoe posa ama

Nifanye vitu wanione ndondocha ama ama nifanyeje

BRIDGE

Jamani penzi lake pombe me nimelewa nayumba nashindwa kujielewa

Kama unayajua haya utanielewa ila kama hujui ndo umechelewa

CHORUS

Aaaahuuuu nakukunda your love is on fire

Aaaaahuuu nakukunda your love is on fire

Aaaahuuuu nakukunda your love is on fire

Aaaaahuuu nakukunda your love is on fire

Related

ADVERTISEMENT