SHARE

Read Mzuri Lyrics By Barnaba Classic Featuring Rayvanny

SHARE

Read and enjoy Mzuri Lyrics By Barnaba Classic Featuring Rayvanny. The song has been well received by many fans in East Africa.

READ ALSO: Read Marry Me Lyrics By Barnaba Classic Featuring Marioo

Mzuri Lyrics Barnaba Classic Ft Jux

Read, enjoy and sing aloud Mzuri Lyrics By Barnaba Classic Featuring Rayvanny Below:

INTRO

Uh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo

Uh! ai mama unavyoringa sasa sio shida zako hizo

Uh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo

Uh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo

Ukicheka mzuri mzuri ukinuna mzuri mzuri

Ukiringa mzuri mzuri Ata ukilia mzuri ni mzuri tu

VERSE 1

Rangi ya chungwa mama chocolate viuno tanga manzabay

Lakipitlosi mama ona nywele shombe shombe Zanzibari chei chei

Umejaliwa nyama na huo mguu Aki Mungu hakosei

Mpaka nikuoe ndo ntafanya usiwe na wasi mama wala mi sikuchezei

Najionea wivu kukupata my boo, tabibu dozi nipe taratibu

CHORUS

Uh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo

Uh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo

Ukicheka mzuri mzuri ukinuna mzuri mzuri

Ukiringa mzuri mzuri Ata ukilia mzuri ni mzuri tu

VERSE 2

Usuke sangitaa unapendeza hana haraka mtoto mwendo wa pweza

Yake mahaba ndio kaniweza kama chakula sahani ya pili naongeza

Walahi kwake naona nyota nyota tu si kwa mahaba unayonipa boo

Na huu wangu wivu utanikuta yasiyo niombeeni nipone

Ananivuruga pale anaponiuliza vipi uhakika mopao unajionaje

namjibu niko sawa kisha namwambia nipigie video call

Najionea wivu kukupata we my boo, tabibu, dozi nipe taratibu

CHORUS

Uh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo

Uh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo

Ukicheka mzuri mzuri ukinuna mzuri mzuri

Ukiringa mzuri mzuri ata ukilia mzuri ni mzuri tu

OUTRO

Ule kimini chuna tototo unafanya nishindwe kutoto

umetakata uko sososo unawatesa cheki tototo

Mara uko nyonyo uko titi ata Saraphina anajua hushikiki

Eh! Serious nimempenda nasema na simuachi aaah!

Related

ADVERTISEMENT