SHARE

Read Nitasema Lyrics By Jay Melody

SHARE

Read, Sing Aloud And Enjoy Nitasema Lyrics By Jay Melody. The song has been well-received by fans in Tanzania.

READ ALSO: Jay Melody Comes Through With 'Nitasema' | LISTEN

Read Nitasema Lyrics By Jay Melody Below:

Si unitoke hata mara moja

Akilini mwangu ooh mara moja 

Ninayopitia ni kama umeniroga

Haya mapenzi yamenipa gonjwa 

Japo sijawahi kukwambia jinsi ninavyokuota

Nakuzimia moyo umeuokota 

Hii dunia nimempenda mmoja hizi

Hisia nitakwambia how I feel 

Para rara raaah how I feel 

Para rara raaah nitasema mi 

Para rara raaah how I feel 

Para rara raaah nitasema mi

Oooh na vitu vyako vinachanganya 

Oooh unigusapo kwisha mwenzio 

Oooh your magnet ooh unanivuta hapo 

Ooh utanitoa roho jamani

Unanikoshs unaniwasha 

Unalia Paah moyo wangu 

Unanikosha unaniwasha 

Unalia Paah moyo wangu

Japo sijawahi kukwambia jinsi ninavyokuota

Nakuzimia moyo umeuokota 

Hii dunia nimempenda mmoja hizi

Hisia nitakwambia how I feel 

Para rara raaah how I feel 

Para rara raaah nitasema mi 

Para rara raaah how I feel 

Para rara raaah nitasema mi

Unanikoshs unaniwasha 

Unalia Paah moyo wangu 

Unanikosha unaniwasha 

Unalia Paah moyo wangu

Related

ADVERTISEMENT